mchungaji wa kichaga

mchungaji wa kichaga

Joined
May 15, 2013
Posts
14
Reaction score
2
KALI YA LEO
Mchungaji mmoja kabila mchaga alikua anamuombea jamaa mmoja ili pepo litoke...
mchungaji;pepo shindwa nakwambia leo utanikoma utatoka haleluya
pepo;sitoki wala sikuogopi
mchungaji;shikarabashabarabasita,toka pepo
pepo;simtoki huyu jamaa kwan mi ni pepo wa hela namwingizia mamilioni kila siku
mchungaji;(akastuka)kumbee bas shindwa...(kwa saut ya chinichini)toka uje kuniingia mimi nipate hela....
CHEZEA CHAGGA WEWE
 
Hahahaha hahaha mapesa tuuu nomaaaa

Sent from my BlackBerry 9360 using JamiiForums
 
KALI YA LEO
Mchungaji mmoja kabila mchaga alikua anamuombea jamaa mmoja ili pepo litoke...
mchungaji;pepo shindwa nakwambia leo utanikoma utatoka haleluya
pepo;sitoki wala sikuogopi
mchungaji;shikarabashabarabasita,toka pepo
pepo;simtoki huyu jamaa kwan mi ni pepo wa hela namwingizia mamilioni kila siku
mchungaji;(akastuka)kumbee bas shindwa...(kwa saut ya chinichini)toka uje kuniingia mimi nipate hela....
CHEZEA CHAGGA WEWE

edited
 
KALI YA LEO
Mchungaji mmoja kabila mchaga alikua anamuombea jamaa mmoja ili pepo litoke...
mchungaji;pepo shindwa nakwambia leo utanikoma utatoka haleluya
pepo;sitoki wala sikuogopi
mchungaji;shikarabashabarabasita,toka pepo
pepo;simtoki huyu jamaa kwan mi ni pepo wa hela namwingizia mamilioni kila siku
mchungaji;(akastuka)kumbee bas shindwa...(kwa saut ya chinichini)toka uje kuniingia mimi nipate hela....
CHEZEA CHAGGA WEWE
Joke ni nzuri ila imechuja kwa kuongeza hayo maneno niliyobold!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom