johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,968
- 141,975
Mbunge wa Iringa mjini mchungaji Peter Msigwa amemmwagia sifa lukuki waziri mkuu mh Majaliwa aliyeko ziarani mkoani Iringa.
Mbunge Msigwa amesema waziri mkuu mh Majaliwa ni kiongozi msikivu anayefundisha, anayekemea palipoharibika na kupongeza pale panapostahili pongezi hivyo Chadema mkoa inamuunga mkono.
Msigwa ameyasema hayo katika mkutano wa waziri mkuu na viongozi wa kisiasa na watendaji wa serikali mkoani Iringa.
Chanzo: ITV habari
Maendeleo hayana vyama!
Mbunge Msigwa amesema waziri mkuu mh Majaliwa ni kiongozi msikivu anayefundisha, anayekemea palipoharibika na kupongeza pale panapostahili pongezi hivyo Chadema mkoa inamuunga mkono.
Msigwa ameyasema hayo katika mkutano wa waziri mkuu na viongozi wa kisiasa na watendaji wa serikali mkoani Iringa.
Chanzo: ITV habari
Maendeleo hayana vyama!