mwamajinja mapunga
JF-Expert Member
- Dec 23, 2014
- 1,074
- 609
weee unayejiita laki si pesa...mmsiwadharau viongozi wa kisiasa kutumia mgongo wa kidini....nchi ikiwa chini ya ukawa utakimbia nchi weweeeee
We jamaa ujuaji mwingi sana eti only in Africa!! Hivi unaishi wapi kwanza?! Haya mambo ya kushikana vichwa yapo sehemu nyingi tu nje ya Afrika kama hujui uliza uelimishwe. Hilo moja sasa suala la imani kuwa ugonjwa au la ni kitu kingine tunaweza kujadili lakini kwanza acha kutoa hizi blanket statements ambazo hazina ukweli wowote.
Niambie nchi gani nje ya Africa kuna mambo kama hayo?.Itaje hapa hiyo nchi.Ni Africa pekee utakuta watu zaidi ya 1000 wamekaa wanamsikiliza mtu mmoja anayewabia eti wakifa wataenda mbinguni.
Ni Africa pekee ambapo mp..umbavu mmoja anawaaminisha watu eti ana uwezo wa kufufua wafu kisha anakusanya pesa zao na kununua magar ya kifahari huku waumini wakinaki karika lindi la umaskini.Poor country poor ideas,
Imani ni ugonjwa mbaya sana na hatari kuliko mahonjwa yote yaliyokwisha wahi tokea
Only in africa ambapo watu waliokosa kazi hukusanyana na kuimba wakiamini kwamba kuna mtu/kitu/nguvu iko mahala inawasikia.
Only in africa ambapo mtu anamshika mwenzake kichwa na kusema et shetan toka kisha mtu yule anaanza kurusha miguu hovyo.
Zama za ujinga zimekwisha...
Karibuni katika ulimwengu huru....
""Ikiwa kuna mtu /watu wanadhani kwamba eti mahala fulani kun amtu/kitu kinachokontro ulimwengu na kwamba kuna maisha fulani baada ya kufa,Hao ni wajinga waliopitiliza-Free ideas
Wewe endelea kukufuru na pumzi za bure unazopumua na kujambajamba hovyo sijui umekula maharage ya wapi yale.mazingira tu yanaonyesha kuwa kuna power inacontrol.
Hivi mtaalamu unajua unakufa lini? Au hata kufa huamini??
Kufa ni asili ya kila kilicho hai,lakini hata nisipojua siku nitakayokufa haimaanishi kwamba mungu yupo.
Asili kivipi? ni nani aliyekuambia kwamba kufa ni asili?
Asili kivipi? ni nani aliyekuambia kwamba kufa ni asili?
Tembea uone. I can't waste my time with someone as arrogant as you, especially when you think you are a free thinker. You think free ideas is about boasting that you know. Kama hujui inabidi uulize sio uje hapa na sweeping statement halafu utegemee kuletewa ukweli kwenye sahani!!Niambie nchi gani nje ya Africa kuna mambo kama hayo?.Itaje hapa hiyo nchi.Ni Africa pekee utakuta watu zaidi ya 1000 wamekaa wanamsikiliza mtu mmoja anayewabia eti wakifa wataenda mbinguni.
Ni Africa pekee ambapo mp..umbavu mmoja anawaaminisha watu eti ana uwezo wa kufufua wafu kisha anakusanya pesa zao na kununua magar ya kifahari huku waumini wakinaki karika lindi la umaskini.Poor country poor people
so ukienda kumchangia ngwajima hela ya kula na kusikiza majigambo yake ndo hutakufa?