chaxy charles chande
Member
- Mar 15, 2015
- 8
- 1
Jamani!!!...eti kama Ibrahim! Mungu amuadhibu muongo mkubwa.
Mchungaji wa Kanisa moja huko Zimbabwe amenaswa akitaka kumchinja mwanaye.Eti kaagizwa na Mungu kama Ibrahim alivyoambiwa amchinje Isaka.
View attachment 241645View attachment 241646
Amechanganyikiwa kiakili huyu Mchungaji feki.
Jamani!!!...eti kama Ibrahim! Mungu amuadhibu muongo mkubwa.
Thibitisha kwamba ni muongo!,kisha ukimaliza uthibitishe kwamba Abraham aliambiwa na mungu(kama yupo)
Thibitisha kwamba ni muongo!,kisha ukimaliza uthibitishe kwamba Abraham aliambiwa na mungu(kama yupo)
Soma maandiko kwenye Bible,kitabu cha Luka Mtakatifu, sura 16:19-31, uisome ile habari ya yule Tajiri aliyekufa ambaye alikwenda moja kwa moja kuzimu na yule masikini Lazaro naye alipokufa akaenda kwenye ufalme wa mbinguni.Imani ni ugonjwa mbaya sana na hatari kuliko mahonjwa yote yaliyokwisha wahi tokea
Only in africa ambapo watu waliokosa kazi hukusanyana na kuimba wakiamini kwamba kuna mtu/kitu/nguvu iko mahala inawasikia.
Only in africa ambapo mtu anamshika mwenzake kichwa na kusema et shetan toka kisha mtu yule anaanza kurusha miguu hovyo.
Zama za ujinga zimekwisha...
Karibuni katika ulimwengu huru....
""Ikiwa kuna mtu /watu wanadhani kwamba eti mahala fulani kun amtu/kitu kinachokontro ulimwengu na kwamba kuna maisha fulani baada ya kufa,Hao ni wajinga waliopitiliza-Free ideas
We jamaa ujuaji mwingi sana eti only in Africa!! Hivi unaishi wapi kwanza?! Haya mambo ya kushikana vichwa yapo sehemu nyingi tu nje ya Afrika kama hujui uliza uelimishwe. Hilo moja sasa suala la imani kuwa ugonjwa au la ni kitu kingine tunaweza kujadili lakini kwanza acha kutoa hizi blanket statements ambazo hazina ukweli wowote.Imani ni ugonjwa mbaya sana na hatari kuliko mahonjwa yote yaliyokwisha wahi tokea
Only in africa ambapo watu waliokosa kazi hukusanyana na kuimba wakiamini kwamba kuna mtu/kitu/nguvu iko mahala inawasikia.
Only in africa ambapo mtu anamshika mwenzake kichwa na kusema et shetan toka kisha mtu yule anaanza kurusha miguu hovyo.
Zama za ujinga zimekwisha...
Karibuni katika ulimwengu huru....
""Ikiwa kuna mtu /watu wanadhani kwamba eti mahala fulani kun amtu/kitu kinachokontro ulimwengu na kwamba kuna maisha fulani baada ya kufa,Hao ni wajinga waliopitiliza-Free ideas