Mchumba wangu huyo amependeza jamani?

Kapendeza kweli!
Sasa mbona kaharibu sunnah na mikucha ya bandia na rangi za nyumba? Angetia na kucha angewakawaka!
 
Wow maashallah amependeza kweli

Sent from my BlackBerry 9100 using JamiiForums
 
Mikono ikichorwa namna hiyo mimi naona itatisha zaidi kuliko kupendeza......kwa miguu sina neno!
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…