Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 43,037
- 34,742
Huyo mkuu hali kwa mikono, hafui kwa mikono, na wala hachambi kwa mikono.Jamani hivi kwa urembo huo anaweza kweli kula kwa mikono?
Du, kweli tupo tofauti , wewe wapenda mikono iliyochorwa, ikifutika?
Kapendeza kweli!
Sasa mbona kaharibu sunnah na mikucha ya bandia na rangi za nyumba? Angetia na kucha angewakawaka!
Huyo mkuu hali kwa mikono, hafui kwa mikono, na wala hachambi kwa mikono.
Yaaaah...amependeza haswaa.
Huyo mkuu hali kwa mikono, hafui kwa mikono, na wala hachambi kwa mikono.
Mh na kweli maana wengine muda sio tatizo!Si atachora tena na tena?