Mchumba wangu apendi kunitumia picha zake

Mchumba wangu apendi kunitumia picha zake

Ulimpatia wapi huyu?

kama ni mtandaoni basi ujue umeula wa chuya..
 
Yan ni Mchumba halaf hatak kukutumia picha?????au ndo mmeanza mahusiano?
 
Unamnunuliaga bando lakini au unalialia tuu
 
Picha za nini sasa!? Kwani hamfahamiani???usumbufu tu
 
Tabia za kivulana hizo za kudai picha,we mtoe out for lunch or dinner then mpige picha hukohuko
 
Acha tabia za kike picha za nini kwani si unamfahamu mpaka maungo yake.
 
Ukiona mtu anakunyima picha yake jua hataki umuweke profike michepuko yake usione. Na wewe kamwe hatokaa kukuweka profile
 
Wewe jamaa wewe, yani picha tu unakuja kulia huku! Sasa ukinyimwa papuchi je? Si utaenda mwananchi.
Picha unataka ukaifanyie nini anyway?
 
mchumba wako hapendi mapicha..tafuta rafiki wa kike ujaze mipicha yake kwenye sim yako..tena mipicha iwe na mautundu kidogo...zingine weka profile pictures na zingine weka kwenye timeline yako na umsifie huyo mdada kabisa..kisha katiza interest ya mchumba wako kidogo hata hizo picha zake usimuombe tena...atalainika ndani ya siku moja...usisahau kuleta mrejesho
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom