Mchumba wangu anatoka na baba yake mzazi, nifanyeje?

Dah mdogo wangu watafuta stress na kujitundika Au? Kama yote unayosema yametokea na ulienda dirishani kweli Wewe wataka Mungu akusaidie nini tena Jamani? Achana Naye wanawake wapo tu utapata! Kifo cha maumivu Kiko mbele mdogo wangu, aching na huyo mdudu Jamani.


 
kweli umempenda huyo binti, na uchafu wote huo wa huyo binti bado unakuja kuomba ushauri!!
i thought umeshamwaga manyanga siku mingi mkuu,huyo mwanamke atakuwa na laana si bure!!
kimbia fasta
 
Mshukuru sana Mungu kwa kukuonyesha ukweli!hapo sipo achana hiyo na shukuru kwa yote!utapata kwingine huyo ni shetani ana ana laana!
 
Hebu tufanye mfano mtu anamshauri mtu aje atoke na mama yako utajisikiaje? hebu tuwapeni heshima stahiki mama zetu. wanahitaji zaidi heshima kuliko dharau ya kiwango hiki.

MI NACHOWAPENDEA WANAFUNZI WANGU KWENYE KUFAA UKALI WANAKUWA WAKALI KWELIKWELI!proud being ur mwalimu Asprin.tukutane darasani.
 
Last edited by a moderator:
Unless ni story ya kutunga kama alivyosema Dena Amsi ..lakini kama ni kweli sioni hata haja ya wewe kusubiri tukushauri. Hebu shirikisha ubongo wako kidogo utaona majibu yanapatikana. Baba mzazi na bintiye..lol!
 
Last edited by a moderator:
usirudie kukurupuka kama hujaelewa ********
 
sasa mkuu hebu achana tu na huyo msichana ,kuna mambo tunayavumilia kwenye mahusiano lakini hiuli ni beyond borders i see!waache wapinduane marinda.kuna mabinti wengi tu wazuri wanafaa kuolewa!wala haina haja kubaki na hyo mwanamke,kwa kipi kwanza?
 
Unless ni story ya kutunga kama alivyosema Dena Amsi ..lakini kama ni kweli sioni hata haja ya wewe kusubiri tukushauri. Hebu shirikisha ubongo wako kidogo utaona majibu yanapatikana. Baba mzazi na bintiye..lol!
salaam my pacha!
hili kweli halina majdala though si unajua kuna mambo mengina huwa tunajiaminisha tunaweza kuyabadilisha tukishaoana?nafikiri ndo mleta mada anachojifariji!ukweli ni kwamba hili halina mabadiliko ya kiumbo wala kikemikali huyu mzee ataendelea kula mzigo hapo mpaka ukamilifu wa dahari!dah dunia inaenda wapi jamani!
 

Ha ha ha ha ha umeona eeehhhh?? Hakuna kitu hapa bana.............................
 
tunajua kupenda ni upofu lakini si ulemavu so jamaa kuwa makini na hakuna jambo ambalo litakufanya ujute kama utakapo kosea kuchagua mke wa kuoa dem kashatoa mimba karibu ya tano kingine anatembea na babazake tayali laana hiyo unaweza ukazani wanao kumbe shemeji zako lakini ni sawa kuwa wanawake wapo wengi lakini si wote waolewaji chukua muda tafuta asiye na laana oa sana mshilikishe MUUMBA kwa imani yako kuwa na siku njema.
 
Unless ni story ya kutunga kama alivyosema Dena Amsi ..lakini kama ni kweli sioni hata haja ya wewe kusubiri tukushauri. Hebu shirikisha ubongo wako kidogo utaona majibu yanapatikana. Baba mzazi na bintiye..lol!

SnowBall hebu msome gmosha48 hapa chini anavyosema..............


Kwaherini na asanteni
 
hapo hata sigeuki ni mbio mwanzo mwisho mtu na mzazi wake kha!
 
Hilo loki wazi wala huhitaji ushauri kwa kuwa umethibitisha mwenyewe achana naye, kama unaona ni vigumu kumwacha nenda ukaombewe inawezekana hizo roho chafu alizo nazo zimeisha kuvaa na wewe. Yaani huyo achana naye mara moja
 

gmosha48 na dena amsi you are great thinkers..i salute you. Mie nimeisoma kisha nikaanza kuona hii ni hadithi ya kutunga na isiyoleta sense hata chembe....

ila mtunzi kachukuwa hisia za wadau kirahisi sana bila hata kushitukiwa... nahisi jf imeingiwa na ombwe la great thinkers..ina fastest writers or wengi wetu hatujiongezi kufikiria kwa kina.

ni maoni tuu.
 

sijambo pacha..ni kweli huyu mleta mada anatakiwa atambue 'mlamba asali halambi mara moja tu'...
 
Huyo mwogope kama ukoma.Nakushangaa hata sasa unaposema unampenda hata baada ya kutambua ukweli wote huo,kama unampenda wa hivyo kwa ajili awe mke wako basi anything in sketi unaweza ukaoa!Pole lakini nafikiri wote hamjazidiana upeo katika maadili,baba mdogo,mimba ya kwanza,mimba ya pili,baba mzazi na kurekodi juu hahaha basi naona wewe pia unakasoro!
 
Duh kama story ni yakweli huyo dada anaishi uswaz sana kama unaweza kwenda kukaa dirishani na kurecod kila kitu then ukalala nje kwao ujue nani atakae toka chumbani hyo hatari.ila una moyo wa jiwe au nawew ulikuwa unapandsha steam pale dirishani kwa kuskilizia game la demu wako.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…