docta sule
Member
- Jun 5, 2015
- 42
- 6
kwanini unapenda huku huna hela
Mbona unalialia kwani umejipangaje ?
unataka msaada wa nini ?
wa hela au mawazo ?
kama hela humu hupati.
Huyo mwanamke sio kwamba anakupenda ila anakuonea huruma tu.
Huyo mchumba ako nae mchunguze, siku hizi hakuna mwanaume anayepeleka posa bila kukubaliana na mwanamke, asikudanganye kizamani bhana.
Pia kama unaona hujajipanga na yeye anataka kuolewa, usimpotezee muda mwache aolewe, hadi wewe ujipange utapata mwingine.
Pia huyo sio mchumba wako maana kwao hawakujui, sema mpenzi wako. uchumba ni hatua nyingine.
Jipange ufanye mambo brother, ukishindwa waachie wanaoweza.
Pole sana. Wafahamishe wazazi wako kwanza, kisha waende kwa wakwe zako wafanye taratibu za wew kuoa. Maisha yatakubali tu kma tayari una kazi.
achana nae hakupendi huyo
waachie waoaji. jipange kwanza utapata mwingine.
thank you ma broo thank so much.godbless you
1.Kibarua hakikulipi hivyo wewe binafsi hujiwezi unaongeza mtu mwingine kwenye hayo matatizo uliyonayo,Acha ujinga usitake kukimbia ungali kutembea hujui,jipange kwanza Ndio uanze starehe za wanawake
pole kwa kukurupuka