Mchumba wa kike anatakiwa

Mchumba wa kike anatakiwa

neindiwe

Member
Joined
May 21, 2012
Posts
33
Reaction score
22
Natafuta msichana mrembo mwenye sifa hizi.

1.Awe mweupe au maji ya kunde.

2.Awe na umbo namba nane.

3.Asiwe mwembamba Sana.

4.Awe na miguu minene.

5.Awe amemaliza Four form mpaka chuo.

6.Awe na umri wa miaka 24 kwenda juu.

Mimi ni mrefu na si mnene wala mwembamba.

Nina miaka 40 years.

Nina MBA in finance.

Nipo serious na kama wewe upo serious naomba tuwasiliane.
 
Moyo wangu umelipuka paaaah.. Baada ya kusoma hili bandiko... I love you ghafla..!!
 
Duuuh!..mimi mwenyewe nilivyo ona reply yako nimesisimka gafla sijui kwanini....Hadi nimeshawishika kuumuliza my precious kama anaifahamu JF sije kuwa ni yeye.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom