Mchumba na michepuko

muache usote kitaa..
sasa km kawapigia walengwa na kupiga ban ww unataka nn tena.

Nnachofikiria hiyo ban siyo ya kuzuga kweli nataka aoneshe kwa matendo
 

yeah ni husband material,kwako amefika hao wengine alikuwa anafanya mazoezi,
 
kazi ipo ndoa oct pole yako kwa kuingia ktk ndoa iloanz misukosuko mpm ndo bc tn keshakuw mchumba pokea cm
 
Achana na hao wadada wa mitandaoni anao chat nao wesikumize kichwa. Cha muhimu ni nani yupo nae kila siku, ni wewe hapo. Kwa hiyo wewe ndiyo wake hao wengine ni danganya toto. Na haya mambo ya kuchat na watu tofauti yanatokeaga kama sehemu ya kupoteza muda.
 
"Hata Mimi sikuhukumu nenda zako na usitende dhambi tena". Kama kwenye vitabu vya mapokeo wanasamehewa itakuwa wewe? Wanamke unatakiwa kuwa faraja, ngao na kinga ya mwenza wako. Kila wakati uwe moyoni mwake kwa kupitia Matendo mema unayomfanyia. Kwa kisa ulichosimulia nakusihi ubadili"approach"ya kuzikabili changamoto za kwenye mahusiano vinginevyo ndoa yako haitadumu.
 
Bado siko happy na yeye nafikiri japo ajue ni kiasi gani nimeumia .hawezi kunywa sumu

Ndiyo upokee simu sasa umueleze hayo, binadamu akifikia yield point huwa hatabiriki
 
Samahani wakuu naomba tu-reverse kidogo hii Habari. ....tufanye mkaka ndio kakuta hizo sms then mdada kalia sana na kuomba msamaha na ndio huyo "mke mtarajiwa" wa mkaka.......ingekuaje? ???
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…