Mchumba finally mke wa maisha

Mchumba finally mke wa maisha

Stanboy

JF-Expert Member
Joined
Jul 4, 2013
Posts
1,115
Reaction score
1,320
Natafuta mchumba ambaye atakuwa mke wangu wa maisha siku si nyingi..

Sifa zangu
1.Mrefu.
2.Maji ya kunde.
3.Mwili wa wastani.
4.Mkristo.
5.Mfanyabiashara

sifa zake
1.Mrefu,
2.Maji ya kunde au mweupe
3.Mwili wa wastani,akiwa na umbo zuri ni sifa zaidi..
4.Mkristo,akiwa muislamu awe tayari kubadili na kuwa mkristo.
5.mfanyabiashara/kazi yoyote halali.
6.Umri usizidi miaka 27.


NB.sibagui kabila,elimu yoyote

Nitumie pm au nitext/call hapa 0625768770 tuzungumze
 
13659091_1357017984325720_8140178522183688574_n-png.374647


Hivi umbo zuri ndo lipoje????
 
Mke mwema hapatikan Jamii Forums hao unapishana Nao huko kitaa na ofisin just choose and Pick
 
Mke mwema hapatikan Jamii Forums hao unapishana Nao huko kitaa na ofisin just choose and Pick


Kwani waliopo jamiiforums wanaishi wapi?wanafanya kazi wapi?

Heshima ya jamiiforums(Home of Greater Thinker) inashuka sana kwa sababu ya watu kama nyie
 
Utapata ila sifa ya miaka itakuumiza maana walio chini ya 27 bado wanasoko hawatafuti waume social netwk ungeongeza zaid ya 27 hao ndo soko limeisha wanazeekea home mpk humu wanatafuta ndoa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom