Stanboy
JF-Expert Member
- Jul 4, 2013
- 1,115
- 1,320
Habari wanajf,
Natafuta mchumba wa kike,
Mimi ni kijana mfanyabiashara hivyo natafuta mchumba awe mfanyabiashara pia.
Sifa zingine ni kama ifuatavyo
1.Umri usizidi miaka 26
2.Awe mzuri
3.Elimu kuanzia form 4-
4.Mrefu,mfupi sitaki bora mrefu sana
5.Rangi yoyote,but maji ya kunde atapewa kipaumbele.
Kwa anayemeet vigezo ani pm
Natafuta mchumba wa kike,
Mimi ni kijana mfanyabiashara hivyo natafuta mchumba awe mfanyabiashara pia.
Sifa zingine ni kama ifuatavyo
1.Umri usizidi miaka 26
2.Awe mzuri
3.Elimu kuanzia form 4-
4.Mrefu,mfupi sitaki bora mrefu sana
5.Rangi yoyote,but maji ya kunde atapewa kipaumbele.
Kwa anayemeet vigezo ani pm