Mchumba anahitajika, nipo Mwanza

Mchumba anahitajika, nipo Mwanza

Renatus masalu

New Member
Joined
Sep 25, 2016
Posts
2
Reaction score
0
Naitwa Renatus naishi Mwanza. Nina umri 24. Natafuta mchumba wa kuoa awe na sifa zifuatazo;
  1. Awe na miaka 20-25
  2. Awe maji ya kunde mrefu kiasi
  3. Awe mchamungu pia mzuri
Namba zangu: 0752219316
 
Kazi yako, elimu yako Rena umesahau jamani kusema
 
Duh!mchumba anatafutwa kama shamba!dunia hii tuendako sasa hadi naogopa
 
Kazi kweli. Kila la heri, ila usisahau kuomba, maana mke mwema anatoka kwa BWANA..
 
kwa mwendo huu ukimpata Dogo langu njoo nikupe hats masufuria ya kuanzia maisha
 
miaka 24 unatafuta mke jf?...ha ha ha ha haaa! acha naiwe.story
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom