molwe
JF-Expert Member
- Jan 10, 2015
- 401
- 416
Siku ukijikuta kwenye ajali umekatika viungo, uje utupe mrejesho wa kufurahia mwendo kasi! MWENDI KASI UNAUAJiongeze, kama ingelikuwa wewe Dereva, piga mahesabu kutoka sumbawanga to Dar kuna Km ngapi gawanya kwa mwendo wa km 40-6 kwa saa utatumia masaa mangapi? Na ukiwa kama Dereva utakuwa kwenye hali gani kiafya. Acha ushabiki wa ajabu namba za Sumatra kachukulie kituo cha polisi