Mchuano mkali kati ya Majinja na Saibaba Sumbawanga - Dar

Ninatokea Mbeya, Haya magari yanakimbizwa Na yanashindana. Polisi njiani wanaangalia tu mtanange huu wakifurahia, Abiria wanamhamasisha dereva achochee Kuni.
Nimemuonya dereva, Basi Zima wamenijia juu, eti nikitaka Maslow motion nipande treni, sina jinsi, Wana JamiiForums naombeni namba za Sumatra
Pole mkuu!
Enzi za kamanda Mpinga zimepitwa na wakati.
Sumatra wajitahidi kuwalazimisha madereva kuendesha kwa weledi.

Mungu awalinde mfike salama.
 
Ninatokea Mbeya, Haya magari yanakimbizwa Na yanashindana. Polisi njiani wanaangalia tu mtanange huu wakifurahia, Abiria wanamhamasisha dereva achochee Kuni.
Nimemuonya dereva, Basi Zima wamenijia juu, eti nikitaka Maslow motion nipande treni, sina jinsi, Wana JamiiForums naombeni namba za Sumatra
Jiongeze, kama ingelikuwa wewe Dereva, piga mahesabu kutoka sumbawanga to Dar kuna Km ngapi gawanya kwa mwendo wa km 40-6 kwa saa utatumia masaa mangapi? Na ukiwa kama Dereva utakuwa kwenye hali gani kiafya. Acha ushabiki wa ajabu namba za Sumatra kachukulie kituo cha polisi
 
Jiongeze, kama ingelikuwa wewe Dereva, piga mahesabu kutoka sumbawanga to Dar kuna Km ngapi gawanya kwa mwendo wa km 40-6 kwa saa utatumia masaa mangapi? Na ukiwa kama Dereva utakuwa kwenye hali gani kiafya. Acha ushabiki wa ajabu namba za Sumatra kachukulie kituo cha polisi
Pia wee mrongo sana,sai baba zimechoka
 
Duh..umenikumbusha Marehemu Rushanga wa Geita mmilki wa mabasi .
Huyu mzee alikuwa anapenda mchuano si kawaida.
Bahati mbaya aliuwawa na basi lake.
 
Ninatokea Mbeya, Haya magari yanakimbizwa Na yanashindana. Polisi njiani wanaangalia tu mtanange huu wakifurahia, Abiria wanamhamasisha dereva achochee Kuni.
Nimemuonya dereva, Basi Zima wamenijia juu, eti nikitaka Maslow motion nipande treni, sina jinsi, Wana JamiiForums naombeni namba za Sumatra
Angalia hapo mbele kwa driver zitakuwa zimeanzia na 08..kama sijakosea
 
Ninatokea Mbeya, Haya magari yanakimbizwa Na yanashindana. Polisi njiani wanaangalia tu mtanange huu wakifurahia, Abiria wanamhamasisha dereva achochee Kuni.
Nimemuonya dereva, Basi Zima wamenijia juu, eti nikitaka Maslow motion nipande treni, sina jinsi, Wana JamiiForums naombeni namba za Sumatra
Dah! Ina maana Bujibuji Ndio tunkukosa. Inna lillahi Wa Inna illahi rajiuni. RIP
 
majinja wahun tuu.. tena hawajali mteja.. wanalazimisha safar ucku wa manane.. na wameweka mashart ya kihun kwenye ticket zao.. mabas yao hata sehem za kucharge cm hakuna..
 
6 Reactions
Reply
Back
Top Bottom