Hata mtoto nyumbani akihoji "baba mbona Jana ulichelewa kurudi home" hata kama ni kweli huyo ni mchochezi anasabanisha uvunjifu wa amani nyumbani, ni lazima nimshughulikie, anahoji yeye ni nani? Yeye ni mtoto tu asubiri akiwa na mji wake akafanyie kwake, mbafu