Na wewe ulikuwa wapi? Wakati huo
Weka na picha kabisa
Na wewe kama magufuli tu
Uwongo mgumu kuupanga,mchina atembeee saa saba usiku,alafu wakati huyo mchina anapigana na hayo jamaa mbwa walikua wanaangalia sshow
wachina kwa mkono achana nao jamaa wapo fit mbaya. huku mtaani kuna mchina alikutana na jamaa kama 6 hivi waliokua na mijibwa mitano iliyoshiba na kupanda hewani kama wale wa polisi ilikua mida ya saa 7 usiku, wale jamaa si wakaanza kumzingua mchina ili wamkabe na kumpora lakini kufumba na kufumbua mchina yule aligeuka na kuwa JET LI na kuwagaragaza wale jamaa kama watoto wote chali chini, baada ya kuona mchina anawa jet li, ndipo wakawaamlisha wale mbwa wao wamvamie mchina sasa mchina ndipo akawa full bruce lee plus jack chan kwani wale mbwa waliambulia makarate, judo,mateke,na makungfu ya ajabu ndani ya dakika 6 mbwa wote walikua chali wameuwawa ulimi nje. mchina akaondoka zake mdogo mdogo huyoooo
video please!; teh teh the..
wachina kwa mkono achana nao jamaa wapo fit mbaya. huku mtaani kuna mchina alikutana na jamaa kama 6 hivi waliokua na mijibwa mitano iliyoshiba na kupanda hewani kama wale wa polisi ilikua mida ya saa 7 usiku, wale jamaa si wakaanza kumzingua mchina ili wamkabe na kumpora lakini kufumba na kufumbua mchina yule aligeuka na kuwa JET LI na kuwagaragaza wale jamaa kama watoto wote chali chini, baada ya kuona mchina anawa jet li, ndipo wakawaamlisha wale mbwa wao wamvamie mchina sasa mchina ndipo akawa full bruce lee plus jack chan kwani wale mbwa waliambulia makarate, judo,mateke,na makungfu ya ajabu ndani ya dakika 6 mbwa wote walikua chali wameuwawa ulimi nje. mchina akaondoka zake mdogo mdogo huyoooo
video please!; teh teh the..
yaan ww jamaa, kila sku ni pumba tu. Yaan bora kufuga nguruwe unaweza kula kitimoto kuliko ww. Huna faida hapa dunian
wachina kwa mkono achana nao jamaa wapo fit mbaya. huku mtaani kuna mchina alikutana na jamaa kama 6 hivi waliokua na mijibwa mitano iliyoshiba na kupanda hewani kama wale wa polisi ilikua mida ya saa 7 usiku, wale jamaa si wakaanza kumzingua mchina ili wamkabe na kumpora lakini kufumba na kufumbua mchina yule aligeuka na kuwa JET LI na kuwagaragaza wale jamaa kama watoto wote chali chini, baada ya kuona mchina anawa jet li, ndipo wakawaamlisha wale mbwa wao wamvamie mchina sasa mchina ndipo akawa full bruce lee plus jack chan kwani wale mbwa waliambulia makarate, judo,mateke,na makungfu ya ajabu ndani ya dakika 6 mbwa wote walikua chali wameuwawa ulimi nje. mchina akaondoka zake mdogo mdogo huyoooo
Inaeleke yukio hili uliliona mwanzo hadi mwisho. Wakati tukio hili linatokea wewe ulikuwa wapi? Nyumbani kwako au machakani? Au wewe ni miongoni mwa hao jamaa 6 waliokalishwa na 'mchina'?
wachina kwa mkono achana nao jamaa wapo fit mbaya. huku mtaani kuna mchina alikutana na jamaa kama 6 hivi waliokua na mijibwa mitano iliyoshiba na kupanda hewani kama wale wa polisi ilikua mida ya saa 7 usiku, wale jamaa si wakaanza kumzingua mchina ili wamkabe na kumpora lakini kufumba na kufumbua mchina yule aligeuka na kuwa JET LI na kuwagaragaza wale jamaa kama watoto wote chali chini, baada ya kuona mchina anawa jet li, ndipo wakawaamlisha wale mbwa wao wamvamie mchina sasa mchina ndipo akawa full bruce lee plus jack chan kwani wale mbwa waliambulia makarate, judo,mateke,na makungfu ya ajabu ndani ya dakika 6 mbwa wote walikua chali wameuwawa ulimi nje. mchina akaondoka zake mdogo mdogo huyoooo