Nimekuwa nikifuatilia mchezo huu.ila cha ajabu kwanini uwa hawazungushi hizo mashine zao live?.wanaonyesha heti wanampigia mshindi wakati wanakuwa wameishacheza.Kweli wa Tanzania twaliwa
Nimekuwa nikifuatilia mchezo huu.ila cha ajabu kwanini uwa hawazungushi hizo mashine zao live?.wanaonyesha heti wanampigia mshindi wakati wanakuwa wameishacheza.Kweli wa Tanzania twaliwa
mkuu usipate shida sana, Watz tu-wavivu sana na tunapenda vitu "KITONGA" acha hao jamaa watupige mpaka akili itakapokuja kukaa sawa.
kuthibitisha hilo watazame viongozi wetu kwanza wale wa SERIKALI NA wasio wa SERIKALI.