Mbwana Samatta aliyewahi kuichezea Simba aweka historia ambayo haijawekwa Afrika Mashariki na Kati. Aifunga Liverpool.
Liverpool ambayo kwa sasa ndio Club Bora Ulaya na Duniani. Yaani hata Club ya Messi, Ronaldo, Neymar na Mbappe hawajafikia ubora wa Liverpool.
Hongera Simba SC, hongera Samatta.
Liverpool ambayo kwa sasa ndio Club Bora Ulaya na Duniani. Yaani hata Club ya Messi, Ronaldo, Neymar na Mbappe hawajafikia ubora wa Liverpool.
Hongera Simba SC, hongera Samatta.