lugoda12 Senior Member Jul 28, 2018 160 337 Jul 14, 2020 #1 Mchezaji na nyota wa timu ya Yanga SC Bernad Morrison amesema kuanzia kesho 15 July 2020 kwasababu mkataba wake unaisha leo 14 July 2020.
Mchezaji na nyota wa timu ya Yanga SC Bernad Morrison amesema kuanzia kesho 15 July 2020 kwasababu mkataba wake unaisha leo 14 July 2020.
G G4rpolitics JF-Expert Member Jul 29, 2015 4,335 5,184 Jul 14, 2020 #2 ndo umeandika nini? hebu rudia kusoma mara tatu ulichokiandikia halafu ujikosoe mwenyewe!
popie JF-Expert Member May 28, 2016 801 575 Jul 14, 2020 #3 G4rpolitics said: ndo umeandika nini? hebu rudia kusoma mara tatu ulichokiandikia halafu ujikosoe mwenyewe! Click to expand... Utaelewa tu
G4rpolitics said: ndo umeandika nini? hebu rudia kusoma mara tatu ulichokiandikia halafu ujikosoe mwenyewe! Click to expand... Utaelewa tu
DullyJr JF-Expert Member Apr 10, 2011 13,979 11,816 Jul 14, 2020 #4 popie said: Utaelewa tuView attachment 1506365 Click to expand... Hii inatokea bongo tu kudadadeki. Sihami bongo
popie said: Utaelewa tuView attachment 1506365 Click to expand... Hii inatokea bongo tu kudadadeki. Sihami bongo
OKW BOBAN SUNZU Platinum Member Aug 24, 2011 49,185 103,688 Jul 14, 2020 #5 Morison alipigwa turn na chenga moja na Konde boy mpaka nikawa nacheka peke tu