Mchezaji bora chipukizi

Gusa achia twende kwao

JF-Expert Member
Joined
Jan 3, 2025
Posts
916
Reaction score
1,026
Kutoka Nchini Cameroon πŸ‡¨πŸ‡², Mchezaji wa klabu ya Victoria United, Wilfried Nathan Douala ambaye ni Kiungo mwenye umri wa miaka 19, ameshinda Tuzo ya Mchezaji Bora Chipukizi wa msimu huu Nchini Cameroon.

Ikumbukwe kwamba Mchezaji huyo alikuwa miongoni mwa Wachezaji waliokuwa wakiunda kikosi cha Timu ya Taifa ya Cameroon kwenye michuano ya Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) mwaka 2023.

β€’Nazidi kuamini hakuna linaloshindika yaani Nathan ana miaka 19 kwa muonekano huu

 
Waafrica ni Minyani tuliyochangamka.

Hii kauli mbaya Sana.

TANGANYIKA YANGU.
 
Hongera kwake Dogo janja, akijitahidi atafikia levels za madogo wenzake
 
Aibu kubwa hii kwa Samuel Eto'o, halafu ndo anautaka uraisi wa CAF?!, pumbaaaavu
 
Sasa huyu akutanishwe na baby boy onyango...πŸ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…