Kutoka Nchini Cameroon π¨π², Mchezaji wa klabu ya Victoria United, Wilfried Nathan Douala ambaye ni Kiungo mwenye umri wa miaka 19, ameshinda Tuzo ya Mchezaji Bora Chipukizi wa msimu huu Nchini Cameroon.
Ikumbukwe kwamba Mchezaji huyo alikuwa miongoni mwa Wachezaji waliokuwa wakiunda kikosi cha Timu ya Taifa ya Cameroon kwenye michuano ya Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) mwaka 2023.
β’Nazidi kuamini hakuna linaloshindika yaani Nathan ana miaka 19 kwa muonekano huu