Hii ndio diet ya wachezaji wa Simba
Yaani anakula msosi ambao hata walevi Wa gongo hawashibi? Kweli bongo tambalale
Hiyo real life inatakiwa kwenye ligi ya Tanzania tu wasijidanganye kwenda kwenye international tournaments wakila hivyo watafika mbali.cmba wanaish really life
Bongo balaa aah kaza jombaaa...Bongo Nyoso....
Kama alishindwa kuhimili makeke ya African lyon ila yanga akaweza basi yanga ni wachovu zaidiNani huyo? Kichuya? Ndio maana ameshindwa kuhimili makeke ya African Lyon leo pale uwanja wa Uhuru!
Hao wanaokula vizuri wamefika wapi?Hiyo real life inatakiwa kwenye ligi ya Tanzania tu wasijidanganye kwenda kwenye international tournaments wakila hivyo watafika mbali.
Wachukua world cupHao wanaokula vizuri wamefika wapi?