Mchepuko wangu kanuna kisa kakuta SMS ya mchepuko mwenzake

Mchepuko wangu kanuna kisa kakuta SMS ya mchepuko mwenzake

Sigara Kali

JF-Expert Member
Joined
May 28, 2017
Posts
3,711
Reaction score
8,765
Kama mada inavyojieleza

Tangu Jana napokea SMS za malalamiko kutoka kwa mchepuko wangu baada ya kukuta SMS za mchepuko mwenzake kwenye simu yangu

Iko hivi Jana majira ya mchana nilienda nyumbani kwa mchepuko wangu kupata lunch ,sasa wakati nipo busy na kula akachukua simu Yangu ambayo muda huo ilikua bado haijajilock hivyo kaanza kuangalia msg mi nlikua namchora tu

Baada ya dakika kadhaa sura ikabadilika na kuanza kulalamika eti mimi nina michepuko mingine,anadai yupo tayari kushare penzi na mama watoto wangu lakini si na huo mchepuko aliokuta SMS zake

Nimeamua kublock manake kayataka mwenyewe kupekua pekua simu Yangu

ONYO: Simu ya mwanaume ni kama kitunguu ukiiangalia sana utaishia kutoa machozi

End of thread

Buenas tardes

[emoji2398]Sigara Kali
 
Kama mada inavyojieleza

Tangu Jana napokea SMS za malalamiko kutoka kwa mchepuko wangu baada ya kukuta SMS za mchepuko mwenzake kwenye simu yangu

Iko hivi Jana majira ya mchana nilienda nyumbani kwa mchepuko wangu kupata lunch ,sasa wakati nipo busy na kula akachukua simu Yangu ambayo muda huo ilikua bado haijajilock hivyo kaanza kuangalia msg mi nlikua namchora tu

Baada ya dakika kadhaa sura ikabadilika na kuanza kulalamika eti mimi nina michepuko mingine,anadai yupo tayari kushare penzi na mama watoto wangu lakini si na huo mchepuko aliokuta SMS zake

Nimeamua kublock manake kayataka mwenyewe kupekua pekua simu Yangu

ONYO: Simu ya mwanaume ni kama kitunguu ukiiangalia sana utaishia kutoa machozi

End of thread

Buenas tardes

[emoji2398]Sigara Kali
mwizi kaibiwa..

Kibaka kapigwa roba..

Umtendee mwenzako upendavyo kutendewa naye..
 
ahahahaaaa, nimeipenda hii kauli ya mwisho

ONYO: Simu ya mwanaume ni kama kitunguu ukiiangalia sana utaishia kutoa machozi
 
Kama mada inavyojieleza

Tangu Jana napokea SMS za malalamiko kutoka kwa mchepuko wangu baada ya kukuta SMS za mchepuko mwenzake kwenye simu yangu

Iko hivi Jana majira ya mchana nilienda nyumbani kwa mchepuko wangu kupata lunch ,sasa wakati nipo busy na kula akachukua simu Yangu ambayo muda huo ilikua bado haijajilock hivyo kaanza kuangalia msg mi nlikua namchora tu

Baada ya dakika kadhaa sura ikabadilika na kuanza kulalamika eti mimi nina michepuko mingine,anadai yupo tayari kushare penzi na mama watoto wangu lakini si na huo mchepuko aliokuta SMS zake

Nimeamua kublock manake kayataka mwenyewe kupekua pekua simu Yangu

ONYO: Simu ya mwanaume ni kama kitunguu ukiiangalia sana utaishia kutoa machozi

End of thread

Buenas tardes

[emoji2398]Sigara Kali
umemchomolea betri mwenzio bado anachota wese kwa nn ?
 
Dunia wanawake ni wengi kuliko wanaume kwa iyo mchepuko anataka mwenzake ajichue
 
Umejikuta unapendwa mwenyewe wakati ukitoka mchepuko nae ana mhuni wakumtunza kwa hela yako mkuu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Umejikuta unapendwa mwenyewe wakati ukitoka mchepuko nae ana mhuni wakumtunza kwa hela yako mkuu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ile kujifanya kachukia anataka kumchuna vizuri naye apeleke huko
 
Kuna mwingine ametolewa mahari kabisaa basi akipiga simu saa za usiku kama sijapokea anatuma sms za kulalamika eti niko na mwanamke hawa watu tuishi nao kwa akili kwa kweli!!!
 
Kuna mwingine ametolewa mahari kabisaa basi akipiga simu saa za usiku kama sijapokea anatuma sms za kulalamika eti niko na mwanamke hawa watu tuishi nao kwa akili kwa kweli!!!
 
Kuna mwingine ametolewa mahari kabisaa basi akipiga simu saa za usiku kama sijapokea anatuma sms za kulalamika eti niko na mwanamke hawa watu tuishi nao kwa akili kwa kweli!!!
Hilo jina lako mkuu kwa KABILA YANGU linamaana ya KELELE


Je nawe Ni wa kwetu?
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ile kujifanya kachukia anataka kumchuna vizuri naye apeleke huko

Mjini kuishi kwa technique afu alivyolegea analeta na uzi kabisa jf anajiona mjanja mwenyewe
 
Back
Top Bottom