Mchepuko unavyonitesa part 1

Daa hata ukiendelea nae jua huo mchezo hatauacha . waswazi wanasema mtalaka hatongozwi , jua tu huyu ni mzazi mwenzie na hujui walianzia wapi . jamaa anakuzidi ufundi labda ndio maana bibie anajisevia mara kwa mara......za kuambiwa changanya na za.......
 

who knows?
 
We endelea tu, the beautiful we share the ugly we marry..endelea baba
 


uroho utakuponza mkuu.
 
Bora tu ulete hiyo part two tujue kama ni story ya Shigongo maana kama siyo story nadhani ipo shida sana,unahitaji kuombewa tena maombi ya uhakika la sivo mwisho wako nauona utakuwa wa hatari sana
 
Sasa hapo mkuu mbona swala lako lipo wazi sana?. Yani unamuacha mtu uliyejuana nae for 3 years kwa ajili ya uliyekutana nae njisni?.

Think like a man broh.
 
Rasimisha uhusiano huo.......nenda kwa wazazi wake......tangaza nia......mpigie simu huyo x wake mwambie aache mambo ya kiboya kumzoea huyo manzi.......kama ni mtoto asubiri akitimiza miaka 8 atakuwa na uhuru wa kumuona na kumlea ila kwa sasa huyo X aamue moja kama atamchukua mtoto akamlee mwenyewe au na huyo demu ache mambo ya kifala ya kukuchezea michezo ya kukuchanganya na mwanaume mwenzako bila kuweka msimamo kuwa anataka kuwa na nani kama mume rasmi kupata mtoto na huyo jamaa haimpi haki ama ruhusa ya kuwa kigeugeu ...............kama hawezi kutumia akili zake za kuzaliwa atumie tuh hata makalio........!
 

Neno moja tu kwako....ww ni faaala..
 
We sio mwanaume ....pigs chini uyo ...ukiwa na mwanamke mmoja lazima ujutieeee
 
Huo uji.nga unaofanya siku moja utamshikia miguu jamaa akiwa anagegeda...
Please acha kufanywa bwe.ge na huyo dada, atakutesa sana na amekwisha jua hufurukuti kwake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…