b5-click
JF-Expert Member
- Mar 21, 2012
- 2,195
- 2,109
Eeeh na tigo ninayo....
Mmmh mmmh mwezi mtukufu huu..
Eeeh na tigo ninayo....
Mwezi mtukufu line za tigo hazitajwi? Au?Mmmh mmmh mwezi mtukufu huu..
Nilichanganya pombe, safari Kibaha nikahamia Kwenye mix ya konyagi na zanzi. Nikapiga mizinga miwili mikubwa ya konyagi
Mwezi mtukufu line za tigo hazitajwi? Au?
Nilichanganya pombe, safari Kibaha nikahamia Kwenye mix ya konyagi na zanzi. Nikapiga mizinga miwili mikubwa ya konyagi
Stori ya kutunga hii
Wiki iliyopita ilikuwa mbaya sana kwangu, nina mchepuko mpya niliempata kwenye harusi ya mfanyakazi mwenzangu. Ni mazuri sana kwa sura na shepu.Tulikubaliana Jumamosi ndio tukapige mechi ya mchangani. Jumamosi niliona ni siku nzuri kwa kuwa wife angekuwa kazini night shift.
Nikakutana na mchepuko muda wa saa sita mchana kwa ajili ya lunch na bia kidogo.Tukala na kunywa hadi muda wa saa moja usiku ndipo tukachukua chuma kwa hali ya ulevi na hamu ya kitu kipya nikapiga non stop mabao mawili ndipo nikalala kama mfu mchepuko ulininyoa nywele za ikulu kisha ukanipiga picha kwa simu yake.
Akachukua simu yangu na kuisaka namba ya mke angu, kisha akaisevu kwake na kumtumia pia aliyonipiga kwa simu yake. Ujumbe ulitumwa kwa Whatsapp ukiwa na picha yangu nikiwa uchi kitandani na nimenyolewa nywele za chini. Ujumbe wa maneno ulikuwa unasomeka ndio ujue huyu wetu wote tuheshimiane. Akiwa kwako ni wako akiwa kwangu ni wangu tusiumbuane.
Nilichanganya pombe, safari Kibaha nikahamia Kwenye mix ya konyagi na zanzi. Nikapiga mizinga miwili mikubwa ya konyagi
Mizinga miwili ya konyagi inaisha vizuri tu.mizinga miwili ya konyagi..... wacha fix mkuu....na umechanganya.........kweli angeweza kuinuka na kukufanyia huo unyambafu........?????? Hivi kweli unaifahamu konyagi ile inatengenezwa pale chang'ombe???? nakwambia labda tungekuwa tumeweka turubai nyumbani.... na shemeji yetu keshakuwa mjane!!!!
Kulala gani huko?
Gari lenyewe la kusukuma ndio injini iwake, konyagi na zanzi? pumbaf..hawa ndio wanatuzalaulishaga. Anaetakiwa kulala ni ke sio me. alaah
Ila kwa sababu ni uzinzi nasema akome tu eh..na atakomeshwa tu hakuna namna nyingine.
kwa huo muda na konyagi mbili, mara bia mara zanzi mbona sielewi
tutasubilia sana... siku moja mwewe atakuwa kuku! hahahaNa we we yatakukuta tu na yakikukuta uje utupe mchapo
Wiki iliyopita ilikuwa mbaya sana kwangu, nina mchepuko mpya niliempata kwenye harusi ya mfanyakazi mwenzangu. Ni mazuri sana kwa sura na shepu.Tulikubaliana Jumamosi ndio tukapige mechi ya mchangani. Jumamosi niliona ni siku nzuri kwa kuwa wife angekuwa kazini night shift.
Nikakutana na mchepuko muda wa saa sita mchana kwa ajili ya lunch na bia kidogo.Tukala na kunywa hadi muda wa saa moja usiku ndipo tukachukua chuma kwa hali ya ulevi na hamu ya kitu kipya nikapiga non stop mabao mawili ndipo nikalala kama mfu mchepuko ulininyoa nywele za ikulu kisha ukanipiga picha kwa simu yake.
Akachukua simu yangu na kuisaka namba ya mke angu, kisha akaisevu kwake na kumtumia pia aliyonipiga kwa simu yake. Ujumbe ulitumwa kwa Whatsapp ukiwa na picha yangu nikiwa uchi kitandani na nimenyolewa nywele za chini. Ujumbe wa maneno ulikuwa unasomeka ndio ujue huyu wetu wote tuheshimiane. Akiwa kwako ni wako akiwa kwangu ni wangu tusiumbuane.