Mchele

amayu

Member
Joined
May 1, 2019
Posts
9
Reaction score
4
Wapendwa natafta soko la mchele wa kutoka tabora...mwenye kuhitaj kwa bei ya jumla ni 1350,kama kuna mtu anaemjua tajir yoyote anaeweza nunua asisite niunganisha 0710925731
 
Wapendwa natafta soko la mchele wa kutoka tabora...mwenye kuhitaj kwa bei ya jumla ni 1350,kama kuna mtu anaemjua tajir yoyote anaeweza nunua asisite niunganisha 0710925731
Hiyo bei ukiwa wap?
 
Hyo Bei unauzia wapi na unauza kuanzia kilo ngapi?je na usafiri unao wa kumpelekea mtu mahali alipo?
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…