Mchango wa baba katika kujenga upendo wa binti

Well tuje kwenye mada husika!
Mabinti walio karibu na baba zao kwanza hujifunza upendo wa jinsi tofauti , kiasi hata katika mahusiano ya kijinsia they tend to be very stable!
HAIMSHANGAZI!
HAONI NI PRIVILEDGE RATHER ANAUTAZAMA UPENDO KAMA UBINADAMU SINCE KWAKE NI KAWAIDA KUPENDWA NA ASIYE WA JINSI YAKE!
HATA NAMNA YAKE YA KUTOA NA KUPOKEA MAPENZI NI TOFAUTI!, ANAKUWA SI TEGEMEZI WA KIHISIA!
Mabinti hawa hata huchelewa kuingia kwenye mahusiano ya kimapenzi, NA AKIINGIA mostly anakuwa VERY INDEPENDENT!,
Kinyume na wanavyotafsirika dads girls wengi are the best wives, mothers and girlfriends!
THEY TEND TO LOVE AND SHOW LOVE KWA AINA YAO KABISA!
ambayo its controversial but the best!
IM A MOTHER OF TWO GIRLS (19,14 yrs) the bond between my girls and their father is daaaaah!
I love the way they are!
Hapo Mzee baba ndio mambo yote, hata interests zao hao mabiniti ukiangalia pakubwa ni kwamba they tend to favour they dad more than you. Kile kinachomfurahisha mzee wao ndio priority and they also enjoy being around him.
 
Hapo Mzee baba ndio mambo yote, hata interests zao hao mabiniti ukiangalia pakubwa ni kwamba they tend to favour they dad more than you. Kile kinachomfurahisha mzee wao ndio priority and they also enjoy being around him.
Hata MUME atachagua anayefafana na babake!
 
Taabu inaanzia kwa baba, je yeye alikulia familia ya aina gani? Je pamoja na kumtreat binti yake vizuri anamteeat vipi mama wa huyo binti? Maana anaweza kujifanya kuwa baba mzuri ila akawa mume wa hovyo kabisa. So that treatment shud go both ways.

Lakini pia anaweza akawa amelelewa ktk familia iliyo vizuri tu ila akaja kuvurugwa na wanaume waliokulia familia za kishenzi. Hivyo malezi haya yanapaswa yawe bora kwa watoto wote ktk familia.
I dont really think baba anaweza kuwa mzuri kwa watoto akiwa hata mke hawezi kumjali. That sounds too selfish, personally labda mama awe na matatizo yake kwenye ndoa ila kama anaishi na mume wake freshi with due respect basi ni ngumu sana kutengwa na mume.
 
I dont really think baba anaweza kuwa mzuri kwa watoto akiwa hata mke hawezi kumjali. That sounds too selfish, personally labda mama awe na matatizo yake kwenye ndoa ila kama anaishi na mume wake freshi with due respect basi ni ngumu sana kutengwa na mume.
My frendo!

Wapo good fathers but bad husbae!

Wapo aseeh!
 
I dont really think baba anaweza kuwa mzuri kwa watoto akiwa hata mke hawezi kumjali. That sounds too selfish, personally labda mama awe na matatizo yake kwenye ndoa ila kama anaishi na mume wake freshi with due respect basi ni ngumu sana kutengwa na mume.
Unaongea as if unaishi sayari ya mars, inamaana hauyaoni ktk dunia hii hii tunayoishi? Humu tu huwa mnajitapa, "mwanaume jali wanao,mwanamke sio ndugu yako". Then unalishangaa hilo!!
Na kwa kuonyesha uselfish umetafuta kila namna ili lawama bado irudi kwa mwanamke.
When yo woman is happy then una familia bora.
Unapotafuta mwanamke aliyelelewa ktk familia bora basi hakikisha nawe umelelewa ktk familia bora, lasivyo hautaweza kuuona huo ubora wake maana kwako familia bora ina definition ya familia uliyokulia.
 
Unaongea as if unaishi sayari ya mars, inamaana hauyaoni ktk dunia hii hii tunayoishi? Humu tu huwa mnajitapa, "mwanaume jali wanao,mwanamke sio ndugu yako". Then unalishangaa hilo!!
Na kwa kuonyesha uselfish umetafuta kila namna ili lawama bado irudi kwa mwanamke.
When yo woman is happy then una familia bora.
Unapotafuta mwanamke aliyelelewa ktk familia bora basi hakikisha nawe umelelewa ktk familia bora, lasivyo hautaweza kuuona huo ubora wake maana kwako familia bora ina definition ya familia uliyokulia.
Hahahah
 
Hivi ushajiuliza ni kwanini watoto wa kike waliolelewa katika familia zenye upendo sana hasa wa baba na mama wanakuja kuwa na upendo wa dhati sana kwa wapenzi hata waume wao tofauti na watoto waliokulia katika familia ambazo zina maugomvi kila kukicha wazazi wanazozana tu ama kulelewa na single parent?

Jibu ni kuwa wazazi wa binti na hasa baba ana mchango mkubwa sana katika makuzi ya binti. Baba kumuonesha binti yake upendo ambao ni extreme kuna faida kubwa sana hasa katika kumjengea binti confidence na kuwa na moyo wa kupenda kwa dhati afikiapo umri wa utu uzima. Baba akishow love itamfanya binti kutambua kwamba mwanaume ni nani na namna gani ya kuishi nae ila sio hilo tu bali kujua upi ni upendo wa kweli na yupi ni mpenzi sahihi. On top of all binti huwa very romantic kama amelelewa katika upendo mkubwa toka kwa baba.

On the other hand mabinti ambao hawajakulia kwenye huo upendo ndio hawa wanaopata shida sana kwenye mahusiano kwa sababu wengi ni majeuri, wajuaji na washenzi. Hawana upendo wa dhati na hawaoni umuhimu wa kumjali mtu. Sio makosa yao ni kukosa upendo wa dhati toka utotoni.

Ombi kwa wenye mabinti wadogo tafadhalini muwapende kwa dhati wazee wenzangu. Tunaoteseka ni sisi ambao tutakuja kuozesha vijana wetu jamani. Pendeni binti zenu kwa manufaa ya vizazi vijavyo.
Ulichoongea ni ukweli mtupu
 
Kuna vitu vikikuzidi umri subiri ukue then utavielewa tu.
Hahaha we unawaonea wivu binti zako sasa 😅😅😅!!!

Unanikimbusha kipindi sista wangu anakuwa binti kigoli mzee alikuwa anapenda kumuita my dear! Sasa maza wa kambo akawa anamaindi mzee kwanini amuite dadaangu my dear wakati yeye hajawahi kuitwa hivyo akajenga nae bifu basi kila siku mzee anasolve ugomvi 🤣🤣🤣 na dadaang alikuwa chizi kweli yan super confident! Yani haonewagi yeye anakuchamba ukimzingua
 
Unaongea as if unaishi sayari ya mars, inamaana hauyaoni ktk dunia hii hii tunayoishi? Humu tu huwa mnajitapa, "mwanaume jali wanao,mwanamke sio ndugu yako". Then unalishangaa hilo!!
Na kwa kuonyesha uselfish umetafuta kila namna ili lawama bado irudi kwa mwanamke.
When yo woman is happy then una familia bora.
Unapotafuta mwanamke aliyelelewa ktk familia bora basi hakikisha nawe umelelewa ktk familia bora, lasivyo hautaweza kuuona huo ubora wake maana kwako familia bora ina definition ya familia uliyokulia.

A lot of men are sick!!!wanaume wengi wanaumwa hawako sawa vichwani mwao sitaki kusema sana
Ila hongereni wanawake ambao mmegundua haya na mmeamua kujisimamia wenyewe
 
Back
Top Bottom