Vituko gani mkuu?!
Ukiachana na siku niliyojiunga na jf, ni siku moja tu nyengine niliyotumia computer na kucheka na avater zilizokuwemo (kuna ile moja ilikuwa inanibania kijicho ivi).
Kwa mtazamo wangu, tutegeme kumpata D.A zaidi kuliko ilivyokuwa awali coz simu inakuwepo karibu na mikono ya mtu 24h 7d kuliko computer.
Na kama ni hivi basi, tuanze kukupigia ww mchango coz hapo ulipo una unlimited wants kibao.
"SI TUNA SHIDA ZETU TUSIKILIZE ZAKO KWANINI?" D.N.A
mbona mnadhalilishana jukwaani?
naunga mkono
mi ntatoa laki moja ..
nani anakusanya ???
Michango yote itakusanywa na Baba_Enock - PayPal, M-Pesa, Western Union, Tigo-Pesa zote ni njia sahihi - Ni PM kwa maelekezo zaidi
mbona mnadhalilishana jukwaani?
Michango yote itakusanywa na Baba_Enock - PayPal, M-Pesa, Western Union, Tigo-Pesa zote ni njia sahihi - Ni PM kwa maelekezo zaidi