GE2025 Mchange: Kulazimisha kususia uchaguzi ni kupora haki za wananchi

GE2025 Mchange: Kulazimisha kususia uchaguzi ni kupora haki za wananchi

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

Mkalukungone Mwamba

JF-Expert Member
Joined
Aug 29, 2022
Posts
2,437
Reaction score
5,235
Kituo cha Wanahabari Watetezi wa Rasilimali na Taarifa (MECIRA) kimekemea vikali tabia za baadhi ya vyama vya siasa kuwalazimisha wananchi kususia uchaguzi ni kuwanyima haki ya msingi kwa mujibu wa katiba.

Chama husika hakishiriki uchaguzi hatua hiyo ambapo ni kinyume cha demokrasia ya kutaka kufanya jaribio la kupora haki za wananchi.

Mwenyekiti wa MECIRA, Mchange Habibu, akizungumza leo katika kipindi cha Kipindi cha Wasafi Good Morning amesema kwa kusisitiza kuwa Demokrasia inasimama juu ya misingi ya uhuru wa mtu mmoja mmoja kufanya maamuzi kwa hiari yake.

“Kila raia ana haki ya kushiriki au kutoshiriki uchaguzi kwa hiari yake. Hii ni haki ya kikatiba isiyoweza kufutwa na chama chochote. Chama kinaweza kususia, lakini haki ya wananchi kushiriki inabaki palepale. Demokrasia halisi inajengwa kwa hoja na heshima, si kwa shinikizo,” alisema.

Screenshot 2025-09-23 232553.png
 
Kituo cha Wanahabari Watetezi wa Rasilimali na Taarifa (MECIRA) kimekemea vikali tabia za baadhi ya vyama vya siasa kuwalazimisha wananchi kususia uchaguzi ni kuwanyima haki ya msingi kwa mujibu wa katiba.

Chama husika hakishiriki uchaguzi hatua hiyo ambapo ni kinyume cha demokrasia ya kutaka kufanya jaribio la kupora haki za wananchi.

Mwenyekiti wa MECIRA, Mchange Habibu, akizungumza leo katika kipindi cha Kipindi cha Wasafi Good Morning amesema kwa kusisitiza kuwa Demokrasia inasimama juu ya misingi ya uhuru wa mtu mmoja mmoja kufanya maamuzi kwa hiari yake.

“Kila raia ana haki ya kushiriki au kutoshiriki uchaguzi kwa hiari yake. Hii ni haki ya kikatiba isiyoweza kufutwa na chama chochote. Chama kinaweza kususia, lakini haki ya wananchi kushiriki inabaki palepale. Demokrasia halisi inajengwa kwa hoja na heshima, si kwa shinikizo,” alisema.


..Na kuendesha uchaguzi kihuni sio kupora haki za raia?
 
Mbona wako smart inakuwaje wanakuwa outsmarted na Hali wakati Wana nyenzo zote?
I mean kama Wananchi wamesusia ni kwa utashi wao si wa kulazimishwa! hakuna anayewalazimisha kususia na haiwezekani kuwazuia.

Ukiona watu wanatafuta mchawi ujue kuna jambo. CCM, ACT na CHAUMMA wanaendelea na kampeni zao, wasi wasi unatoka wapi?
 
Mchange ni mtu alikubali kuishi kama mtu asiekuwa na kichwa ..

Nani hajui kuwa uchaguzi huu watatiki mawakala wa CCM kwenye vituo vya kupigia kura ,CCM imenunua vyama vya upinzani, na kuweka wagombea wa uongo ili ipate nafasi ya kuweka mawakala vituo vyote ili WATIKI TU kwa kutumia rejesta za matawi
 
Kituo cha Wanahabari Watetezi wa Rasilimali na Taarifa (MECIRA) kimekemea vikali tabia za baadhi ya vyama vya siasa kuwalazimisha wananchi kususia uchaguzi ni kuwanyima haki ya msingi kwa mujibu wa katiba.

Chama husika hakishiriki uchaguzi hatua hiyo ambapo ni kinyume cha demokrasia ya kutaka kufanya jaribio la kupora haki za wananchi.

Mwenyekiti wa MECIRA, Mchange Habibu, akizungumza leo katika kipindi cha Kipindi cha Wasafi Good Morning amesema kwa kusisitiza kuwa Demokrasia inasimama juu ya misingi ya uhuru wa mtu mmoja mmoja kufanya maamuzi kwa hiari yake.

“Kila raia ana haki ya kushiriki au kutoshiriki uchaguzi kwa hiari yake. Hii ni haki ya kikatiba isiyoweza kufutwa na chama chochote. Chama kinaweza kususia, lakini haki ya wananchi kushiriki inabaki palepale. Demokrasia halisi inajengwa kwa hoja na heshima, si kwa shinikizo,” alisema.

Msenge huyu vipi kuzuia chama Cha siasa chenye wanachama 6M kukizuia kushiriki uchaguzi !?

HAKI ZA HAO WATU 6M ZITAFIDIWA VIPI ?
 
Unaendeaje kuchagua watu ambao wameshidwa kuendesha mwendokasi ni kupoteza mda
 
Back
Top Bottom