McLaren
JF-Expert Member
- Feb 19, 2025
- 889
- 2,863
Mchambuzi wa masuala ya siasa na uchumi, Simba Mwinyi, amesema amani ni kipaumbele cha kwanza kwa Serikali yoyote duniani, akisisitiza kuwa maendeleo hayawezi kupatikana ikiwa amani haitadumishwa.
Akizungumza katika mahojiano maalumu na Jambo TV leo Novemba 6, 2025, amesema:
“Serikali yoyote makini duniani, amani kwake ni kipaumbele. Huwezi kudai maendeleo kama umeshindwa kuidumisha amani. Tuna mifano ya mataifa mengi yaliyoingia kwenye machafuko na vurugu, hakuna maendeleo huko,”
Akizungumza katika mahojiano maalumu na Jambo TV leo Novemba 6, 2025, amesema:
“Serikali yoyote makini duniani, amani kwake ni kipaumbele. Huwezi kudai maendeleo kama umeshindwa kuidumisha amani. Tuna mifano ya mataifa mengi yaliyoingia kwenye machafuko na vurugu, hakuna maendeleo huko,”