Mchalo kama mtamu maana yake nini?

Mchalo kama mtamu maana yake nini?

tamimusalim

JF-Expert Member
Joined
Jun 17, 2014
Posts
1,822
Reaction score
499
Ni tangazo la kuhamashisha watu kutumia huduma ya kukopa pesa na kuweka katika mtandao wa air tel, tangazo linaeleweka ila kipengere cha mcharo kawa mtamu" nini maana yake?
 
Mh sema siye wenyewe ndo tunatabia ya kuharibu lugha mtu atalenga hiv wewe unakwenda kwingine
 
Lile tangazo husema"mchalo KAOA mtamu" ..........na siyo "mchalo KAMA mtamu"
 
Asilimia kubwa mnamaana potofu na hill tangazo...jaribu kulegeza akili na kukuriri tafsiri unayoihitimisha na hiyo maana ya utam...tuache mtizamo hasi
 
Ni tangazo la kuhamashisha watu kutumia huduma ya kukopa pesa na kuweka katika mtandao wa air tel, tangazo linaeleweka ila kipengere cha mcharo kawa mtamu" nini maana yake?

Kwa ujumla Tanzania hatujui kutengeneza matangazo tena mengine badala ya kuvutia yanaboa sogea tu hapo kwa jirani yako kenya ndo utajua nilikuwa namaanishaa....
 
Mwezangu hii tanzania kama imelaaniwa vile kila kitu magumashi tu
 
Back
Top Bottom