Mchakato wa katiba na mkwamo wake

Mchakato wa katiba na mkwamo wake

WAITARA

Member
Joined
Sep 23, 2013
Posts
68
Reaction score
37
Leo kuanzia muda wa saa mbili usiku hadi saa tatu na nusu usiku nitakuwa kwenye kipindi cha Mchakato wa Katiba Mlimani Tv.

Critical Thinkers wote mnakaribishwa tujadili pamoja hapa ndipo mahali pake.

Kwa umuhimu wa Katiba kwa taifa na watu wake naomba tujumuike ili kujadili na kisha kwa pamoja tutafute njia ya kwenda mbele.

Samahani kwa sasa sitatoa mawazo yangu na msimamo wa Chama juu ya UKAWA na Kikao cha bunge Maalum mwezi ujao ila tukutane kwenye kipindi kujua mbichi na mbivu.

Kutakuwepo pia na uwakilishi wa CCM na NCCR-Mageuzi.
 
pamoja sana kamanda , kwa vile muda huo futari itakuwa imefika mahali pake basi bila shaka tutakuwa pamoja .
 
leo kuanzia muda wa saa mbili usiku hadi saa tatu na nusu usiku nitakuwa kwenye kipindi cha mchakato wa katiba mlimani tv.critical thinkers wote mnakaribishwa tujadili pamoja hapa ndipo mahali pake.

Kwa umuhimu wa katiba kwa taifa na watu wake naomba tujumuike ili kujadili na kisha kwa pamoja tutafute njia ya kwenda mbele.

Samahani kwa sasa sitatoa mawazo yangu na msimamo wa chama juu ya ukawa na kikao cha bunge maalum mwezi ujao ila tukutane kwenye kipindi kujua mbichi na mbivu.

Kutakuwepo pia na uwakilishi wa ccm na nccr-mageuzi.

si vibaya ukitudokeza atakayekuwa mwakilishi wa ccm .
 
Back
Top Bottom