VUTA-NKUVUTE
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 6,137
- 17,908
Ungekuwepo,ungeshafanya jambo kimahakama. Ungesha-uchallenge ubabe na ubatili unaoendelea na kulalamikiwa nchini kwasasa. Nilikuwa nakujua. Usingekaa kimya. Ungethubutu. Tuliobaki hadi tunatia aibu. Waoga watupu. Hata ID zetu ni za bandia,za uogauoga.
Kweli ulikuwa Baba wa Katiba wa Tanzania. Ulikuwa ni mtanzania jasiri kuliko wote. Usingebaki nyuma. Kutazama amri zikizidi sheria. Kutazama aliyehifadhi akisemwa ameficha. Ungetusaidia. RIP Comrade!
Mzee Tupatupa wa Lumumba (kwasasa Ruvuma)
Kweli ulikuwa Baba wa Katiba wa Tanzania. Ulikuwa ni mtanzania jasiri kuliko wote. Usingebaki nyuma. Kutazama amri zikizidi sheria. Kutazama aliyehifadhi akisemwa ameficha. Ungetusaidia. RIP Comrade!
Mzee Tupatupa wa Lumumba (kwasasa Ruvuma)