Maarifa
JF-Expert Member
- Nov 23, 2006
- 4,568
- 2,911
Wapenzi wana jamvi wa jamii forums!! ninawasalim katika jina la Tanganyika
maonesho ya jana ama hakika yameniacha na maswali mengi sana.; ingawa yalipendeza sana na kutuhakikishia ulinzi imara na kwelikweli!!!
1. sijawahi kuona maandalizi ya kijeshi kwa shughuli ya kushrehekea uhuru wa Tanganyika ama muungano kama mwaka huuu. Madege yalikuwa yakivurumushwa Dar, zanzibar, Dodoma , pemba n,k. KWA NINI?
2. Siku ya Siku ( Jana ) pamoja na mbwembe nyingi Majeshi (Yalionesha hadharani what capable they are. masilaha mazito mazito, miavuli, anga , majini mpaka na komandoo- kupasua tofali vichwani!! So what?
3. wakaalikwa marais wote jirani - Malawi- mgongoro wa nyasa umefikia wapi? ,, Kagame- mwakilishi alikuwepo- kuna fukuto, ethiopia, kenya, uganda, burundi, zambia , msumbiji, na wakongwe wapigania uhuru wengi-
je Kikwete alitaka kupeleka mesage gani? kwa majirani, kwa wanaoonekana kuupinga muungano???????
fedha kiasi gani zilitumika kuwaleta wote hao- walialikwa wakalipiwa first class air tickets na wasaidizi wao na wakafikia five star hotels!! duhh hiyo budget ingefanya nini katikia vituo vya afya? madarasa?
maonesho ya jana ama hakika yameniacha na maswali mengi sana.; ingawa yalipendeza sana na kutuhakikishia ulinzi imara na kwelikweli!!!
1. sijawahi kuona maandalizi ya kijeshi kwa shughuli ya kushrehekea uhuru wa Tanganyika ama muungano kama mwaka huuu. Madege yalikuwa yakivurumushwa Dar, zanzibar, Dodoma , pemba n,k. KWA NINI?
2. Siku ya Siku ( Jana ) pamoja na mbwembe nyingi Majeshi (Yalionesha hadharani what capable they are. masilaha mazito mazito, miavuli, anga , majini mpaka na komandoo- kupasua tofali vichwani!! So what?
3. wakaalikwa marais wote jirani - Malawi- mgongoro wa nyasa umefikia wapi? ,, Kagame- mwakilishi alikuwepo- kuna fukuto, ethiopia, kenya, uganda, burundi, zambia , msumbiji, na wakongwe wapigania uhuru wengi-
je Kikwete alitaka kupeleka mesage gani? kwa majirani, kwa wanaoonekana kuupinga muungano???????
fedha kiasi gani zilitumika kuwaleta wote hao- walialikwa wakalipiwa first class air tickets na wasaidizi wao na wakafikia five star hotels!! duhh hiyo budget ingefanya nini katikia vituo vya afya? madarasa?