Mbwana Samatta aipatia Bao TP Mazembe (Live hivi sasa)

Mbwana Samatta aipatia Bao TP Mazembe (Live hivi sasa)

K-Boko

JF-Expert Member
Joined
Aug 3, 2013
Posts
697
Reaction score
218
Mtanzania Mbwana Samatta amepiga bao la pili kwa Mazembe katika dakika ya 24 ya kipindi cha kwanza na mpira unaendela hivi sasa! Wanacheza na timu ya Tunisia.
 
Mtanzania Mbwana Samatta amepiga bao la pili kwa Mazembe katika dakika ya 24 ya kipindi cha kwanza na mpira unaendela hivi sasa! Wanacheza na timu ya Tunisia.

Nafuu hata habari kama hizi zitokee huku kwenye Jukwaa la siasa maana kila kukicha Zitto na CHADEMA na maCCM yamekazana kama nini.
 
Nafuu hata habari kama hizi zitokee huku kwenye Jukwaa la siasa maana kila kukicha Zitto na CHADEMA na maCCM yamekazana kama nini.

lile jukwaa kwa sasa linaboa sana. Leo waarabu lazima waachie
 
Kwani Samata hayupo Kenya kwenye challenge cup?
 
Kwani Samata hayupo Kenya kwenye challenge cup?

Kwa sababu alikuwa anahitajika katika mechi ya leo huko Lubumbashi...huenda mechi na Somalia kesho yeye na Ulimwengu wakawepo Nairobi...
 
Nafuu hata habari kama hizi zitokee huku kwenye Jukwaa la siasa maana kila kukicha Zitto na CHADEMA na maCCM yamekazana kama nini.

kweli .masiasa ya kibongo kichèfu*2.
 
Hebu nikumbushe huyo Mbwana Samata ni mwanamuziki wa bendi gani vile. Na sasa hivi ameshatoa albamu ngapi.
 
safi sana,hapo hawachomoki atupie nyingine mbili

Mazembe wameshatupwa nje ya Club Champs kwa aggregate ya 3-2. Leo Watunisia walichomoa kabao kamoja dakika ya 90! So matokeo ya leo ni 2-1. Kule kwao mazembe walipigwa 2-0.
 
Back
Top Bottom