Guys, the boy is shining because of Tresor Mabi Mputu kule wanamwita "Mfalme Mputu",angalieni kwa makini % kubwa ya magoli yake anayoifungia TP Mazembe yanakuwa yamefanyiwa kazi na "Mabi"...na kuthibitisha hilo ndo maana akichezea team isiyo na Mputu i.e Taifa Stars Samatta ni kama John Boko Adebayor wetu tu,anyway ni mtazamo wangu tu.