Mbwa wa ulinzi anauzwa

Mbwa wa ulinzi anauzwa

gayo

JF-Expert Member
Joined
Feb 17, 2011
Posts
238
Reaction score
93
Ndugu msomaji nauza mbwa wa ulinzi aina ya German shephered kama anavyoonekana kwenye picha.
bei ni 350,000/- tu. Kwa wale wote wanaohitaji tafadhali ni PM kwa maelezo zaidi.

Asante
 

Attachments

  • IMG-20130115-00740.jpg
    IMG-20130115-00740.jpg
    129.9 KB · Views: 297
  • IMG-20130122-00788.jpg
    IMG-20130122-00788.jpg
    118.2 KB · Views: 259
  • IMG-20130122-00766.jpg
    IMG-20130122-00766.jpg
    235 KB · Views: 557
Mbwa gani amechoka hadi anakula udogo
kuna mzungu aliniambia ukitaka kujua mbwa mzuri interviwe yake ni msosi ,wewe mtupie chakula chochote chini ukiona amekimbilia akala huyo temana nae,mbwa mzuri anakula kwenye plate yake tu.
Basi kuna siku moja jamaa akaleta mbwa kurushiwa tu mchicha khaa kidogo avunjike mguu...
Ssa huyo wako mkuu anakula udongo wakija vijana wamejipanga wamechoma na mbuzi vizuri hata kabla hawajafika si anawafungulia geti huyu?
 
huyo mbwa ni bomba sana, kama unapata trainer mzuri unaweza ata mfunza kuchunga mifugo, iwe ngombe, mbuzi ama kondoa. kwa ulinzi wa majumbani siyo kabisa, kwa mifugo yani training kidogo tu utafurahi
 
Kwa haraka haraka mbwa huyu ni mzuri kwa mbegu na jamii yake,ila inaonekana lishe tu ndio tatizo kwa huyo anayeonekana kwenye picha.Pia mazingira ya huyu aliye ktk picha si safi sana,sasa sijui anamuuza huyo au huyo ni sample ya mbegu inayouzwa?.
 
huyu mbwa keshapitiliza umri wa kuuzwa...mbwa mzuri wa kununua asiwe amezidi six weeks toka kuzaliwa...sasa huyu kidogo tayari ashaanza kula mifupa
 
Mbwa gani amechoka hadi anakula udogo
kuna mzungu aliniambia ukitaka kujua mbwa mzuri interviwe yake ni msosi ,wewe mtupie chakula chochote chini ukiona amekimbilia akala huyo temana nae,mbwa mzuri anakula kwenye plate yake tu.
Basi kuna siku moja jamaa akaleta mbwa kurushiwa tu mchicha khaa kidogo avunjike mguu...
Ssa huyo wako mkuu anakula udongo wakija vijana wamejipanga wamechoma na mbuzi vizuri hata kabla hawajafika si anawafungulia geti huyu?

Teh! Teh! Teh! Smile umenichekesha mno!!
 
Teh! Teh! Teh! Smile umenichekesha mno!!
mkuu kuna mbwa wanajiheshimu acha tu,unapoongelea mbwa wa ulinzi anatakiwa awe na adabu zaidi..ujue majambazi wakijua kwako kuna mbwa wanachoma kuku au mbuzi fresh wanaweka na sumu wanamtupia mbwa kwisha habari. sasa mbwa mwenye adabu hali kitu chochote hadi kwenye bakuli lake .huyu wa ndugu yetu anakula hadi udongo huyu simuamini labda awe tu wa home sio wa ulinzi
 
Mbwa gani amechoka hadi anakula udogo
kuna mzungu aliniambia ukitaka kujua mbwa mzuri interviwe yake ni msosi ,wewe mtupie chakula chochote chini ukiona amekimbilia akala huyo temana nae,mbwa mzuri anakula kwenye plate yake tu.
Basi kuna siku moja jamaa akaleta mbwa kurushiwa tu mchicha khaa kidogo avunjike mguu...
Ssa huyo wako mkuu anakula udongo wakija vijana wamejipanga wamechoma na mbuzi vizuri hata kabla hawajafika si anawafungulia geti huyu?

Ha ha ha smile unachafua biashara ya mdau,, kwa hiyo unamaanisha huyu mbwa akipewa kitimoto na kachumbari yake anawapokea wezi vizuri na kuwaelekeza mpaka vitu vya kuiba?
 
duh haya me napita sema kaka muuze elfu 30,000/= nikupe ela kutokana na mazingira
 
Ha ha ha smile unachafua biashara ya mdau,, kwa hiyo unamaanisha huyu mbwa akipewa kitimoto na kachumbari yake anawapokea wezi vizuri na kuwaelekeza mpaka vitu vya kuiba?
duuh kweli aisee twende zetu kwenye maloveee
 
Wandugu nashukuru kwa maoni na changamoto zenu.
Huyu mbwa yupo Dar Maeneo ya Mbezi - Kimara. Pia naombeni msaada wenu kama unafahamu trainer mzuri wa mbwa nahitaji kwaajili ya huyu na wengine.
 
Hacha kuwadanganya watanzania ndugu,huyo mbwa siyo German shepherd bali ni Tanganyika shepherd sifa zake kubwa ni kama.Kula mizoga na maozo na kukimbia ovyo,ila anafaa sana sehemu za mashambani kulinda mazao yasiharibiwe na wanyama au wadudu waharibifu
 
Kila mbwa siku hizi amekuwa German shepherd,huyo mbwa naona kama umri umepita
mpaka akuzoee it takes time,kampandikize kwa dume la GS,then uza watoto
 
Mbwa gani amechoka hadi anakula udongo
kuna mzungu aliniambia ukitaka kujua mbwa mzuri interviwe yake ni msosi ,wewe mtupie chakula chochote chini ukiona amekimbilia akala huyo temana nae,mbwa mzuri anakula kwenye plate yake tu.
Basi kuna siku moja jamaa akaleta mbwa kurushiwa tu mchicha khaa kidogo avunjike mguu...
Ssa huyo wako mkuu anakula udongo wakija vijana wamejipanga wamechoma na mbuzi vizuri hata kabla hawajafika si anawafungulia geti huyu?

Eti mbwa anakula udongo mara mbwa kakimbia mchicha?!! ... nimejikuta nnacheka peke yangu ... Ha! ha! ha!


attachment.php
 
Ndugu msomaji nauza mbwa wa ulinzi aina ya German shephered kama anavyoonekana kwenye picha.
bei ni 350,000/- tu. Kwa wale wote wanaohitaji tafadhali ni PM kwa maelezo zaidi.

Asante

Kwanza ndugu niweke wazi, HUYU SIYO GERMAN SHEPHERD japo ni mbwa mzuri. Kwa bei ya 350,000/= hauziki hata kidogo!! Pili, jaribu kutueleza historia ya mbwa wako...
  1. Amepata chanjo zote?
  2. Ana kadi za maendeleo ya afya yake?
  3. Ana umri gani? Asili yake?
 
Mbwa gani amechoka hadi anakula udogo
kuna mzungu aliniambia ukitaka kujua mbwa mzuri interviwe yake ni msosi ,wewe mtupie chakula chochote chini ukiona amekimbilia akala huyo temana nae,mbwa mzuri anakula kwenye plate yake tu.
Basi kuna siku moja jamaa akaleta mbwa kurushiwa tu mchicha khaa kidogo avunjike mguu...
Ssa huyo wako mkuu anakula udongo wakija vijana wamejipanga wamechoma na mbuzi vizuri hata kabla hawajafika si anawafungulia geti huyu?

Mkuu acha uhunii!! yaani una maana Dogi kurushiwa mchicha, mzuka ukapanda =D Dah!!! hii hatari kubwa
 
Back
Top Bottom