Mie pia nimeweka ilo tangazo kwangu maana kuna watoto walikuwa wanacheza mpira ukaingia ndani ya fensi madogo wakaruka ukuta kuufuata. Kilichowakuta na kilichonikuta baada ya lile tukio na Germany shephard wangu ndio nilijua duniani hakuna jambo dogo. Kwa sasa nimeweka vibao kila kona ya nyumba kuwa kuna mbwa wakali hakijichanganya mtu mie simo