Mkuu chukuwa bus mpaka Katavi, lakini kabla hujafika hao wenyeji wako (wauza mbuzi) waombe wakutafutie usafiri. Na mkubaliane walipe robo ya usafiri mpaka utakapo wapeleka hao mbuzi. Kwani kununua mbuzi 100 ushafanya biashara kubwa kwao watakubali kusaidia usafiri tu.
Ndukiiiii
Sent using
Jamii Forums mobile app