Mbunge yeyote mnafiki alaniwe asirudi 2015

Mbunge yeyote mnafiki alaniwe asirudi 2015

ansebaluu

Member
Joined
Aug 15, 2013
Posts
21
Reaction score
9
Inasikitisha sana kuna wabunge ambao wameamua kuwa wanafiki hata hoja za kijinga wanaunga mkono. Hata kama hazina mashiko kwa wananchi. Wao ni ndioooo tu. Kwa maslahi ya chama. Naomba walaaniwe wasirudi 2015
 
Back
Top Bottom