Stephano Mgendanyi
JF-Expert Member
- May 16, 2020
- 3,119
- 1,428
MBUNGE WANU ASHIRIKI MKUTANO MKUU MAALUM WA UWT - KUSINI UNGUJA
Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Kusini Unguja, Mhe. Wanu Hafidh Ameir ameshiriki katika Mkutano Mkuu Maaalum wa Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT) wa CCM katika Wilaya ya Kusini uliofanyika katika Ukumbi wa TASAF Kizimkazi Dimbani ambapo Ajenda Kuu ikiwa ni Uchaguzi wa Madiwani Viti Maalum UWT katika Wilaya hiyo.
Pamoja na mambo mengine, Mhe. Wanu Hafidh Ameir ameshiriki zoezi la kupiga kura katika uchaguzi wa kuwapata Madiwani wa Viti Maalum kupitia Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT) ndani ya Chama Cha Mapinduzi katika Wilaya ya Kusini Unguja ambapo Zoezi hilo limefanyika.