Shark
JF-Expert Member
- Jan 25, 2010
- 29,467
- 29,167
Pia ili kutulizwa zaidi kaletewa kitila mkumbo ili 2020 wapambane unajua kijana anautaka uraisi sasa asije leta chokochoko baadaeToka aambiwe na mzee wa kuteleza ulimi "kaa chini popo we! Unadhani sijui unayogizani?" Basi hana raha kabisa. Ule ubabe wake wa enzi zile kwisha kabisa. Hata wizara sasa inasimamiwa na Bashite kiaina yeye kaachiwa kiti tu pale wizarani.
Umaarufu wa kuchonga ni shida sana, akitokea mmakonde mwingine akachonga kinyago kingine watu wataangalia hiki kinyago cha mwisho.