ChamaDola
JF-Expert Member
- Dec 23, 2016
- 3,432
- 2,804
Kunani huko Serikalini?
Kulikoni Madelu?
What have they done to you?
Awamu hii imekufifisha sana tofauti na ile ya JK. Tena kuna wakati natamani urudi Chamani uachane na shughuli za kiserikali. Umepoza, hakuna shamrashamra uwapo luningani au katika majukumu yako kama miaka ile ya 2010 kwenda 2015.
Vipi? Wizara yako ndiyo inayoongoza kwa ukwiukwaji wa haki za raia na hata mauaji,mfano mzuri ukiwa na haya mashambulizi ya FFU dhidi ya raia hapo Ukonga. Wanakuhujumu au ni uzembe wako?
Wewe ni jembe, Alfayo na yule mke wa Kafulila hapa Iramba wanakufahamu fika ujuzi wako wa medani na jinsi ulivyowakata kata funua 2015 wakakosa hata kata moja.
Ebu rudi nyumbani, udi Iramba tufanye kazi
Ila swali langu bado liko palepale:
WAMEKUFANYA NINI MPAKA UMEPOA HIVYO?
Kulikoni Madelu?
What have they done to you?
Awamu hii imekufifisha sana tofauti na ile ya JK. Tena kuna wakati natamani urudi Chamani uachane na shughuli za kiserikali. Umepoza, hakuna shamrashamra uwapo luningani au katika majukumu yako kama miaka ile ya 2010 kwenda 2015.
Vipi? Wizara yako ndiyo inayoongoza kwa ukwiukwaji wa haki za raia na hata mauaji,mfano mzuri ukiwa na haya mashambulizi ya FFU dhidi ya raia hapo Ukonga. Wanakuhujumu au ni uzembe wako?
Wewe ni jembe, Alfayo na yule mke wa Kafulila hapa Iramba wanakufahamu fika ujuzi wako wa medani na jinsi ulivyowakata kata funua 2015 wakakosa hata kata moja.
Ebu rudi nyumbani, udi Iramba tufanye kazi
Ila swali langu bado liko palepale:
WAMEKUFANYA NINI MPAKA UMEPOA HIVYO?