Mbunge wa Morogoro Kusini Mashariki Mgumba yuko wapi?

Mbunge wa Morogoro Kusini Mashariki Mgumba yuko wapi?

CCM MKAMBARANI

JF-Expert Member
Joined
Mar 15, 2017
Posts
2,031
Reaction score
1,529
Duniani kuna mengi wakuu.Nianze kwa kuwapa salamu zenu.Kuna msemo wetu unasema kuwa "UWEZO WA MTU HUPIMWA NA NAMNA ANAVYO TATUA MATATIZO" Lakini kwa bahati nzuri au mbaya jambo hili limekuwa gumu sana kufanyika kwa viongozi hususani wabunge wetu ndani ya chama na zaidi mh.Mgumba ambaye ndio mbunge wa jimbo letu.

Mh.Mgumba jimbo lako lina matatizo chungu mzima lakini hauna habari ya kuyatatua kwanini lakini?. Kuna shule ya msingi MKAMBARANI haina hata ofisi ya walimu na madarasa ya kutosha je uunajua hilo?.

Mh.Mgunga nakupa hongera za kuteuliwa kuwa naibu waziri wa kilimo lakini unajua kuwa katika jimbo lako kuna vilio vya ukosefu wa pembejeo?. Umekuwa kiziwi,Jimboni kwetu umepasusa lakini hamna tatizo. Maana hata siku moja miti haitoweza kuongea labda kwa nguvu za imani ya ki-mungu au u-shetani.

Mh.Mgumba Pokea salamu hizi ukijua kuwa chama cha mapinduzi kinahitaji imani mpya kwa wananchi na ujue kuwa fikra mpya zinashika hatamu mara dufu nakuomba tu usije kukivua nguo chama chetu kwani katika jimbo letu hatujazoea ushindi wa mabavu.

Mh.Kumbuka tu kuwa hongera zangu kwako za kinafiki na hazina tija yeyote ya kukupongeza hivyo tafakari na uchukue hatua mara moja.
 
Duniani kuna mengi wakuu.Nianze kwa kuwapa salamu zenu.Kuna msemo wetu unasema kuwa "UWEZO WA MTU HUPIMWA NA NAMNA ANAVYO TATUA MATATIZO" Lakini kwa bahati nzuri au mbaya jambo hili limekuwa gumu sana kufanyika kwa viongozi hususani wabunge wetu ndani ya chama na zaidi mh.Mgumba ambaye ndio mbunge wa jimbo letu.

Mh.Mgumba jimbo lako lina matatizo chungu mzima lakini hauna habari ya kuyatatua kwanini lakini?. Kuna shule ya msingi MKAMBARANI haina hata ofisi ya walimu na madarasa ya kutosha je uunajua hilo?.

Mh.Mgunga nakupa hongera za kuteuliwa kuwa naibu waziri wa kilimo lakini unajua kuwa katika jimbo lako kuna vilio vya ukosefu wa pembejeo?. Umekuwa kiziwi,Jimboni kwetu umepasusa lakini hamna tatizo. Maana hata siku moja miti haitoweza kuongea labda kwa nguvu za imani ya ki-mungu au u-shetani.

Mh.Mgumba Pokea salamu hizi ukijua kuwa chama cha mapinduzi kinahitaji imani mpya kwa wananchi na ujue kuwa fikra mpya zinashika hatamu mara dufu nakuomba tu usije kukivua nguo chama chetu kwani katika jimbo letu hatujazoea ushindi wa mabavu.

Mh.Kumbuka tu kuwa hongera zangu kwako za kinafiki na hazina tija yeyote ya kukupongeza hivyo tafakari na uchukue hatua mara moja.
Ndivyo ccm walivyo, mtanyooka sana kwa kuwachagua.
 
unauliza yuko wapi? Kenda Dodoma kuunga mkono juhudi!
 
halafu utawasikia "HAYA MAJIMBO YANAYOONGOZWA NA UPINZANI NDIO YANAWACHELEWESHEA MAENDELEO. CHAGUENI CCM TUWALETEE MAENDELEO"[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Mkuu kwann usijalribu kuwashawishi wazaz na wanakijiji wafyatue tofali then wajenge baadhi ya majengo ya shule.
 
Unauliza Mbunge yuko wapi na hapo hapo unampongeza kwa kuteuliwa kuwa Naibu Waziri wa Kilimo?

Hizi akili zetu inabidi tuzibinafsishe kwa wazungu ili ziwe na upeo mpana wa kuwaza na kufikiri.
 
halafu utawasikia "HAYA MAJIMBO YANAYOONGOZWA NA UPINZANI NDIO YANAWACHELEWESHEA MAENDELEO. CHAGUENI CCM TUWALETEE MAENDELEO"[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Karne hii ujinga huu bado unasemwa hadharani tena na wanaojiita wasomi.eti maendeleo hayaji kisa mlichagua upinzani
 
Back
Top Bottom