Mbunge wa Mbeya Joseph Mbilinyi apata ajali

Mbunge wa Mbeya Joseph Mbilinyi apata ajali

Mkaa Mweupe

JF-Expert Member
Joined
Jun 29, 2007
Posts
654
Reaction score
185
Mbunge wa Mbeya Mh. Joseph Mbilinyi amepata ajali Kitonga baada ya gari lake kupata hitilafu ya breki. Hakuna aliyejeruhiwa.
 

Attachments

  • 1420905418012.jpg
    1420905418012.jpg
    85.4 KB · Views: 836
Kama hakuna aliejeruhiwa na wala kupoteza maisha tunashukuru
 
hiyo ajari ilikuwa mbaya
kama wamepona ni jambo la kumshukuru Mungu
 
Pole Sana Kamanda....mbunge wangu sugu...Kwa Niaba ya wana Mbeya University Of Science And Technology Tunakupa Pole Na Tunamshuru Mungu Kwa Kukuponya.
 
Duh... kuna watu wana Mungu aisee.
Mungu anatukumbusha kua yupo jamani.
 
Mbunge wa Mbeya Mh. Joseph Mbilinyi amepata ajali Kitonga baada ya gari lake kupata hitilafu ya breki. Hakuna aliyejeruhiwa.
Hapa kuna uwalakini. 1.Breki kuwa na hitilafu gari huwa haianguki..inagonga.2.Hii gari ni manual kama breki ina HITILAFU inazimuliwa bora gia box ife watu wapone........dereva kanjanja.....
 
Hapa kuna uwalakini. 1.Breki kuwa na hitilafu gari huwa haianguki..inagonga.2.Hii gari ni manual kama breki ina HITILAFU inazimuliwa bora gia box ife watu wapone........dereva kanjanja.....

unaweza uko sahihi lakin driving ni zaid ya ujuavyo.ajar ya break haina specific fomula so usikalili bro
 
Back
Top Bottom