Mbunge wa Kilombero, Lijualikali ahamishiwa gereza la Ukonga-Dsm

barafu

JF-Expert Member
Apr 28, 2013
6,726
32,818
image.jpeg
Mbunge wa Jimbo la Kilombero mkoani Morogoro kupitia chama cha Demokrasia na maendeleo CHADEMA, Peter Lijualikali amehamishiwa katika gereza la Ukonga jijini Dar es salaam baada ya kuhukumiwa kifungo cha miezi sita jela.

Jumatano iliyopita, mahakama ya wilaya ya Kilombero ilimhukumu kutumikia kifungo cha miezi sita jela bila kulipa faini mbunge huyo kwa kosa la kufanya fujo na kusababisha taharuki.

Mwanasheria mkuu wa CHADEMA, Tundu Lissu akizungumza na Gazeti la Nipashe jana kwa simu, alisema alimtembelea mbunge huyo kwenye gereza la Ukonga alikofungwa mwishoni mwa wiki iliyopita.
 
View attachment 461613 Mbunge wa Jimbo la Kilombero mkoani Morogoro kupitia chama cha Demokrasia na maendeleo CHADEMA, Peter Lijualikali amehamishiwa katika gereza la Ukonga jijini Dar es salaam baada ya kuhukumiwa kifungo cha miezi sita jela.

Jumatano iliyopita, mahakama ya wilaya ya Kilombero ilimhukumu kutumikia kifungo cha miezi sita jela bila kulipa faini mbunge huyo kwa kosa la kufanya fujo na kusababisha taharuki.

Mwanasheria mkuu wa CHADEMA, Tundu Lissu akizungumza na Gazeti la Nipashe jana kwa simu, alisema alimtembelea mbunge huyo kwenye gereza la Ukonga alikofungwa mwishoni mwa wiki iliyopita.

Hivi nani kapendekeza apelekwe dar? Kwa nini aspelekwe gereza la maweni tanga au KILWA? kWA NINI DAR? Wanataka AWE KARIBU NA wanaharakati na akina Tundu LISSU?I SMELL A ROTTEN RAT SOMEWHERE
 
Hivi nani kapendekeza apelekwe dar? Kwa nini aspelekwe gereza la maweni tanga au KILWA? kWA NINI DAR? Wanataka AWE KARIBU NA wanaharakati na akina Tundu LISSU?I SMELL A ROTTEN RAT SOMEWHERE
Sijaelewa mantiki yako.
 
View attachment 461613 Mbunge wa Jimbo la Kilombero mkoani Morogoro kupitia chama cha Demokrasia na maendeleo CHADEMA, Peter Lijualikali amehamishiwa katika gereza la Ukonga jijini Dar es salaam baada ya kuhukumiwa kifungo cha miezi sita jela.

Jumatano iliyopita, mahakama ya wilaya ya Kilombero ilimhukumu kutumikia kifungo cha miezi sita jela bila kulipa faini mbunge huyo kwa kosa la kufanya fujo na kusababisha taharuki.

Mwanasheria mkuu wa CHADEMA, Tundu Lissu akizungumza na Gazeti la Nipashe jana kwa simu, alisema alimtembelea mbunge huyo kwenye gereza la Ukonga alikofungwa mwishoni mwa wiki iliyopita.
Lema yeye lini? Apelekwe keko
 
Pole Mpangaji wangu wa Zamani Wa Mtoni kwa Azizi Ally Enzi hizo akiwa Katibu Kata wa Chadema Mtoni. Pole sana sana sana!
 
Mungu amsaidie afya yake isilete shida gerezani, Lema leo ana miezi 3 na anaishi bila tatizo, miezi 6 = 4 atamaliza.
 
Mwenyewe anafurahi.Chadema ukifungwa ndio cv inapanda,hata majuha wenzake wanamshangilia na kumsifia
Huyo lema aliesema atakata rufaa ndani ya siku tatu,leo Alhamis,hakuna kitu.Kutoa povu mbele ya waandishi ni rahisi sana
 
Back
Top Bottom