thephilanthropist
Senior Member
- Aug 28, 2020
- 171
- 262
Kupitia ukurasa wake rasmi wa Facebook, Salim Mussa Omar ametahadharisha kuhusu uwepo wa wimbi kubwa wa wizi matapeli wa mtandaoni.
Katika siku za karibuni kumeibuka watu wengi ambao wanajifanya wanauza vitu vya kielectroniki kama simu, laptop, Games consoles (Ps3, Ps4, Xbox one) ambao wanauza kwa bei rahisi sana, Watu hawa wanajifanya wapo Zanzibar ila sio kweli ni matapeli wakubwa.
Na kwa jinsi wa Tanzania tunavopenda mteremko wengi wetu tunaingia chaka, hii ni kutokana na wengi wetu tunaamini watu wa visiwani ni waaminifu.
Katika siku za karibuni kumeibuka watu wengi ambao wanajifanya wanauza vitu vya kielectroniki kama simu, laptop, Games consoles (Ps3, Ps4, Xbox one) ambao wanauza kwa bei rahisi sana, Watu hawa wanajifanya wapo Zanzibar ila sio kweli ni matapeli wakubwa.
Na kwa jinsi wa Tanzania tunavopenda mteremko wengi wetu tunaingia chaka, hii ni kutokana na wengi wetu tunaamini watu wa visiwani ni waaminifu.