singidadodoma
JF-Expert Member
- Nov 11, 2013
- 4,394
- 1,536
Hahaaaaa Jana walisema Maalimu kahongwa Mil 350 Leo wamekuja na uhusiano wa Shein na Maalim watia ShakaRaia Tanzania?! Hiki kipeperushi kilionyesha rangi zake wakati wa Uchaguzi mkuu kwa habari za uchochezi na uongo zilizofumbiwa macho na TCRA. Mtu mwenye akili timamu hawezi kusoma huu upuuzi, achilia mbali hata maandazi au sukari ya 200 siwezi kufungia.
Huyu EZEKIEL KAMWAGA hajaanza leo kumchafua MAALIM SEIF na CUFHili gazeti nalo limekosa habari utamwitaje Said Arfi mbunge wa CHADEMA mbona EL haitwi mbunge wa CCM...shame on u!
kuona kama umepagawa kwani nini shida kwenye tarifa hii.Raia Tanzania?! Hiki kipeperushi kilionyesha rangi zake wakati wa Uchaguzi mkuu kwa habari za uchochezi na uongo zilizofumbiwa macho na TCRA. Mtu mwenye akili timamu hawezi kusoma huu upuuzi, achilia mbali hata maandazi au sukari ya 200 siwezi kufungia.
View attachment 323462 View attachment 323461
Huyu EZEKIEL KAMWAGA hajaanza leo kumchafua MAALIM SEIF na CUF
Raia Tanzania?! Hiki kipeperushi kilionyesha rangi zake wakati wa Uchaguzi mkuu kwa habari za uchochezi na uongo zilizofumbiwa macho na TCRA. Mtu mwenye akili timamu hawezi kusoma huu upuuzi, achilia mbali hata maandazi au sukari ya 200 siwezi kufungia.