Mbunge wa CCM akishambuliwa ktk eneo linalolindwa na Red Brigade, halafu Mh.Msigwa akachomoa CCTV cameras nani atashutumiwa?

I think u hv an evidence ht kdg khs hili, cz issue hii ht kama mmiliki wa hizo CCTV CAMERAS alipaswa kuonyesha hali ya ubinadam cz aliyeshambuliwa ni binadam kama binadam wengne, Impression nyingi kwa binadam wenye huruma ni lazima wadodose na kujua au kupata ht majib kidogo kuhus hili
Mtu anafunga cctv camera for a reason, sio kwa ajili ya jirani, mambo yang cctv cameras ni mambo ya kizungu, issue za jirani ni none of their business, mambo ya kumind issues za majirani ni uswahili, eneo lile maisha ni ya kizungu, hakuna uswahili kila mtu ni kumind his or her own business.
P
 
Hatuishi kwa hisia, CCTV cameras ni private property, mwenye CCTV cameras yuko huru kuziondoa CCTV cameras zake wakati wowote na kazihifadhi popote bila kuulizwa na yeyote kwa sababu ni private property, no right to trespass.

Mwenye CCTV cameras zake, alikuwa amepanga siku nyingi nyuma, kuwa ifikapo tarehe 8 September, 2017, ataziondoa CCTV cameras zake, hivyo ilipofikia tarehe hiyo, akazifuata kamera hizo, akazitupa jalalani, zikasombwa na gari la taka.

Ni bahati mbaya sana kwamba Tundu Lissu alishambuliwa tarehe 7 September na CCTV cameras zake zilirekodi kila kitu, lakini kwa vile ni kamera zake binafsi, yuko huru kufanya
nazo chochote bila kuulizwa.

Tukio la Shambulizi kwa Lissu limetokea coincidentally tuu siku ya kuziondoa CCTV cameras and has nothing to do with shambulio hilo.

Pia kulitokea coincidence nyingine, wakati shambulio linatokea, walinzi wote walikuwa washroom wakaacha lindo, na bunduki zilizotumika zote zilikuwa silencer, hivyo hata jirani mmoja aliyesikia chochote, hivyo mashahidi wa tukio hilo ni wawili tuu, jeshi la polisi linawasubiri liwahoji ndipo uchunguzi uanze.

Kufikiria jambo lolote la hisia zozote kuhusu shambulio la Lissu, ni ramli chonganishi...


Pasco.
Paskal,wewe ni mwandishi wa habari wa siku nyingi na mwenye heshima kubwa hapa Tz.

Kumbuka wakati ule ulipokuwa ukiendesha kipindi cha KITIMOTO huko DTV.
Siku hizi umebadilika sana,na hoja zako si zenye nguvu kama ilivyokuwa wakati ule.

Nakuomba,kabla hujajibu ama kuchangia hoja uangalie vizuri.

Bado una nafasi ya kujijenga kama wakati ule ambapo tuliacha hata kula ili tuone kipindi ambacho ulikiendesha wewe. Na hata baadhi ya waheshimiwa waliogopa kuhojiwa kwenye kipindi chako
 
Mtu anafunga cctv camera for a reason, sio kwa ajili ya jirani, mambo yang cctv cameras ni mambo ya kizungu, issue za jirani ni none of their business, mambo ya kumind issues za majirani ni uswahili, eneo lile maisha ni ya kizungu, hakuna uswahili kila mtu ni kumind his or her own business.
P

Ok fine u said those issues was own business n not others but one thing u must remember it, when u live with the majority u must live as a person who care they're own lyf but others also so hiyo hai'make sense ht kdg
 
maisha ya Sasa Ni safe contained bafu ndani choo ndani na ukuta mkubwa kukuzunguka na mllango yenye magrill.Mtegemea Cha nduguye au jirani iwe CCTV or whatever hufa Hali maskini.Maisha ya Sasa Ni safe contained .Funga umeme,maji yako,CCtV zako na choo chako.Huwezi kwenda jisaidia choo Cha jirani na kutegemea choo Cha jirani au CCTV ya jirani

Whatever bt the one thing u must keep in ur mind ni kwamba haya maisha yako kwa safe kwa everything km 88% ivi bt kumbuka kuishi vizur na jiran ni vyema cz huyo ndo ndugu ako wa kwnz ht kukupa msaada pindi ufikwapo na matatizo so isiwe kesi sn khs hilo but when u want to save ur lyf also remember to ur majority especially wanaokuzunguka n not otherwise
 
Back
Top Bottom