Taarifa zilizo nifikia hv punde zinaeleza mbunge david ernest silinde ameanzsha vikundi ndan ya chama cdm momba. Inadaiwa vikundi hvyo vnafanya vikao kinyme cha katiba.pili vnaukejeli na kuutukama kwa matusi ya uongozi wa wilaya. Mtoa taarifa kwa masharti magumu anasema kazi ya mbunge n kutulpa posho lengo anataka tuung'oe uongozi wote wa (w).
Kikao moja wapo kilfanyka tar.26.2.2014 kwa ufadhili wa mbunge hata alpo zuiwa na uongozi kanda na mkoa.mh.silinde aliwatia pamba wajumbe wa vikao vyake vya kimapinduzi dhidi ya uongozi wa(w)
Kikao moja wapo kilfanyka tar.26.2.2014 kwa ufadhili wa mbunge hata alpo zuiwa na uongozi kanda na mkoa.mh.silinde aliwatia pamba wajumbe wa vikao vyake vya kimapinduzi dhidi ya uongozi wa(w)